Zanzibar ndo nmeingia alasiri ya leo wapenzi Tuonane. Nimeleta zawadi nzuri toka Bara

Ni lini umeanza kunikosea heshima hivi ndugu yangu? Mbona mimi nlikuwa nakuona kuwa ni kijana smart? Anyway hamna shida yote kheri tu...

Gujike usitembee umeweka kitambaa mfuko wa nyuma I repeat USIWEKE KITAMBAA MFUKO WA NYUMA. utaolewa mapema tena hata darajani huta fika...

Wakati unaenda Makundu..uchi nipitie hapa fuoni Taveta twende...🙂
 
Aisee... Huko sidhani kama ntaenda... Labda nikutane tu mtu anayetokea huko. Ilikuaje wakataka wachomekwe na mwembe?na wachomekwe wapi?kitu gani?
Mkuu ukifika mwembe nchomeke salaam zao sana
 
Sheikh waonesha u mwenyeji sana pande hizo. Huna dadayo huku ansindikize mitaa hiyo? Ngependa npate mwenyej nami ntembelee maeneo yote tajwa nawe hapo juu. Hasa bububu,mwanakwerekwe,bwejuu na kibanda maiti...
 
Ha ha ha ha.... Dada mbona waniwakia hivoo? Mi mekuja kutembea tu nchi yetu sote hii. Mechagua wadada sababu wao wakarimu sana kuliko wakaka.... Naomba unikaribishe uliko dada yangu... U wapi? Mchambawima?

Dada zetu wa nini? Chukua tour guide umlipe akutembeze...Maisha ya bara yamekushinda umekuja Zbar kudanga eeh!
 
Mpaka muda huu sijalala.... Napata marashi ya karafuu tu.... Zanzibara mashallah...naomben wadada mlio huku jaman tusisahau ukarimu wa kiafrika... Tuwasiliane...
 
Mpaka muda huu sijalala.... Napata marashi ya karafuu tu.... Zanzibara mashallah...naomben wadada mlio huku jaman tusisahau ukarimu wa kiafrika... Tuwasiliane...
Hongera yakhe kwa marashi ya karafuu Zanzibar
 
Aisee nisamehe sijapanga kukuudhi ila nilikuonya tu maana ukitembea umeweka kitambaa mfukoni wanajua ni Mtoto si ridhiki..
Ni lini umeanza kunikosea heshima hivi ndugu yangu? Mbona mimi nlikuwa nakuona kuwa ni kijana smart? Anyway hamna shida yote kheri tu...
 
zanzibar zanzibar zanzibar....
 
Kuwa Makin Kuwa Na Wake Za watu Watu Wa Huko Masiala Hawatak Kabisa Oooohhh
Aende mabaa tu kuna wageni wengi wa mrima wanajiita wazenji ili kutafuta soko ......hata wamasai atapata.

Lakini kwa wenye nasaba zao asahau wima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…