Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 2,203
- 5,610
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kusini Unguja limetolea ufafanuzi juu ya tukio la kushambuliwa kwa Kijana Mmoja anayefahamika kwa jina la Maulid Hussein Abdallah maaraufu Mauzinde
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kusini Unguja Kamishna Msaidizi Muandamizi wa Polisi SACP Daniel Shilla wakati akizungumza na waandishi wa habari
Kamanda Shilla amesema tukio la kutekwa kwa kijana hilo limefanyika Juni 02, mwaka huu huko Kibele ambapo kijana huyo alikatwa sehemu ya chini ya masikio yake huku akisema kuwa chanzo cha tukio hilo bado hakijajulikana
Pia soma:
- Watu wasiyojulikana wamshambulia Mauzinde kwa kumkata masikio na kumtelekeza msituni