Zanzibar: Rais Hussein Mwinyi avunja Bodi ya Wakurugenzi wa ZIC

Zanzibar: Rais Hussein Mwinyi avunja Bodi ya Wakurugenzi wa ZIC

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ameivunja bodi ya wakurugenzi wa Shirika la Bima la Zanzibar(ZIC). Amemteua Ramadhani Mwalimu Khamisi kuwa mwenyekiti wa bodi hiyo.

Pia Rais Mwinyi ameteua Balozi Amina Salum Ali kuwa mwenyekiti wa bodi ya Takwimu Zanzibar. Salma Haji Saadat ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa BAraza la Taifa la watu wenye ulemavu.

Ussy Khamis Debe ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa BAraza la Taifa la watu wenye Ulemavu.

1629378087986.png
 
Wasiishie tu kuvunja mabodi na kuyaunda upya; mabodi mengine huwa magumu kama zile za City Bus, hayafai na wala hayafi hata yavunjwe kwa greda za Vietnamu.

Watu wafunguliwe kesi mahakamani, washtakiwe, walipe fidia na kutumikia kifungo. Nchi hii na ile sasa inachezewa kuliko hata shamba la bee-bee!!! Shame on you all blind leaders mnaowaongoza blind people!!!
 
Ma cadre wa chama wanakiona cha moto. Is merit the new kid on the block?
 
Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi ameivunja bodi ya wakurugenzi wa Shirika la Bima la Zanzibar(ZIC). Amemteua Ramadhani Mwalimu Khamisi kuwa mwenyekiti wa bodi hiyo.

Pia Rais Mwinyi ameteua Balozi Amina Salum Ali kuwa mwenyekiti wa bodi ya Takwimu Zanzibar. Salma Haji Saadat ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa BAraza la Taifa la watu wenye ulemavu.

Ussy Khamis Debe ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa BAraza la Taifa la watu wenye Ulemavu.

ZIC kama NIC tuu sijui kama italeta nafuu
 
Back
Top Bottom