Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,470
- 722
Mjadala wa katiba mpya una mambo mengi yenye kufikirisha.
Muundo wa serikali tatu nao uangaliwe vizuri isije siku moja watu wakajuta!
Zanzibar wanapodai uwiano wa 50/50 kwenye madaraka na vyeo, kwanini hawadai 50/50
kuchangia kwenye majukumu na gharama?
Leo wanadai kuwa Mkuu wa majeshi atoke pia Zanzibar?!
Muundo wa serikali tatu nao uangaliwe vizuri isije siku moja watu wakajuta!
Zanzibar wanapodai uwiano wa 50/50 kwenye madaraka na vyeo, kwanini hawadai 50/50
kuchangia kwenye majukumu na gharama?
Leo wanadai kuwa Mkuu wa majeshi atoke pia Zanzibar?!