Elections 2010 Zanzibar vyombo vya habari bubu

Elections 2010 Zanzibar vyombo vya habari bubu

Mpasuajipu

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2010
Posts
836
Reaction score
50
Katika hali isiyo ya kawaida, vyombo vingi vya habari huko Zenji vimekuwa bubu ktk kufuatilia na kutangaza matokeo ya awali. Tofauti na vyombo km TBC ambayo inaendelea kufuatilia kila tukio, vyombo vya habari huko visiwani km radio za FM n.k zinapiga muziki tu na hakuna habari zinazotolewa, Je KULIKONIIII?
 
Back
Top Bottom