Zanzibar yavuliwa uanachama CAF

Zanzibar yavuliwa uanachama CAF

testa

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
442
Reaction score
180
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeivua uanachama Zanzibar miezi minne tu baada ya kupewa.

Rais wa CAF, Ahmad amesema kuwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Tanzania haikutakiwa kukubaliwa kama mwanachama wa 55 wa shirikisho hilo.

"Walikubaliwa uanachama bila uchunguzi wa kina wa sheria ambazo zipo wazi kabisa," alisema Rais, Ahmad.

"CAF haiwezi kusajili Shirikisho mbili tofauti kutoka nchi moja."

FIFA walikataa kuisajili Zanzibar baada ya CAF, iliyokuwa chini ya rais mtangulizi wa Ahmad, Issa Hayatou, kuikubalia Zanzibar kuwa mwanachama wa CAF.
 
ni muungano wa nchi mbili au ni muungano wa nchi na miji ya pemba na unguja?
 
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeivua uanachama Zanzibar miezi minne tu baada ya kupewa.

Rais wa CAF, Ahmad amesema kuwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Tanzania haikutakiwa kukubaliwa kama mwanachama wa 55 wa shirikisho hilo.

"Walikubaliwa uanachama bila uchunguzi wa kina wa sheria ambazo zipo wazi kabisa," alisema Rais, Ahmad.

"CAF haiwezi kusajili Shirikisho mbili tofauti kutoka nchi moja."

FIFA walikataa kuisajili Zanzibar baada ya CAF, iliyokuwa chini ya rais mtangulizi wa Ahmad, Issa Hayatou, kuikubalia Zanzibar kuwa mwanachama wa CAF.
zanzibar siyo dola! see authority

Dar es Salaam — The Court of Appeal of Tanzania yesterday clearly stated here that no treason could take place in Zanzibar or in Tanzania mainland alone according to the current constitution.

The court was delivering a ruling on the charges against the 18 members of the Civil United Front (CUF), the main opposition party in Zanzibar. The Appeal Court cancelled the earlier ruling by a Nigerian Judge Garba Tumaka that treason could be committed in Zanzibar.
 
uonevu.
Mbona uingereza visiwa vyake vingi.vimepewa uanachama fifa na uefa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndo wanalolikwepa ni kweli kwamba tuna muungano wa ajabu na kipekee duniani, lakini kwanini Wales, England na Ireland ziruhusiwe nongwa uwe kwa Zanzibar.
NB:
Britain invented the present football and have exclusive right in altering or amending the 17th rule of the games
 
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeivua uanachama Zanzibar miezi minne tu baada ya kupewa.

Rais wa CAF, Ahmad amesema kuwa Zanzibar, ambayo ni sehemu ya Tanzania haikutakiwa kukubaliwa kama mwanachama wa 55 wa shirikisho hilo.

"Walikubaliwa uanachama bila uchunguzi wa kina wa sheria ambazo zipo wazi kabisa," alisema Rais, Ahmad.

"CAF haiwezi kusajili Shirikisho mbili tofauti kutoka nchi moja."

FIFA walikataa kuisajili Zanzibar baada ya CAF, iliyokuwa chini ya rais mtangulizi wa Ahmad, Issa Hayatou, kuikubalia Zanzibar kuwa mwanachama wa CAF.
kwa hiyo wawakilishi wa Tz kimataifa ni Time Moja toka bars, na moja Zanzibar. Hivyo basi Simba sc a.k.a Mbu*3 FC imekula kwenu maskini. Kweli wahenga walisema...
 
Yakhe sisi hatukubali lazima tushiriki mashindano ya CAF mwakani. TFF na ZFA andaeni mashindano maalum kati ya timu za bara na visiwani ili tupate wawakilishi wa CAF mwakani.
 
Back
Top Bottom