Zanzibar yavuna shilingi Trilioni 1 za kukodisha Visiwa 16 kwa Wawekezaji wa hoteli za kitalii

Zanzibar yavuna shilingi Trilioni 1 za kukodisha Visiwa 16 kwa Wawekezaji wa hoteli za kitalii

ChoiceVariable

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
66,537
Reaction score
75,687
Serikali ya Zanzibar imekusanya takriban dola milioni 380 (sawa na takriban Shilingi trilioni moja) kwa kukodisha visiwa vidogo 16 kwa wawekezaji wa kigeni.

Zanzibar ina zaidi ya visiwa vidogo 50, ambapo vingi kati ya hivyo vinafaa kwa uwekezaji wa utalii.

Hadi sasa, serikali imekodisha visiwa takriban 20 katika maeneo ya Unguja na Pemba kwa ajili ya uwekezaji wa kibiashara.

Hata hivyo, licha ya mapato hayo makubwa, ni visiwa vitatu tu kati ya vilivyokodishwa ambavyo vimeendelezwa.
===
My Take
Rais Mwinyi & Samia ni watu wa biashara,hawataki mambo ya ajabu ajabu ya kulishana maneno ya propaganda na kuharibiana maisha yanayoshadidiwaga na watu wa Bara.
1736685006288.png
 
Zanzibar imesema imevuja Dola 380 mln sawa na karibu Shilingi Trilioni 1 kwakukodisha Visiwa 16 kati ya 50 Kwa wawekezaji wa Nje ambao wengi wao wamejenga mahoteli ya Kitalii.

View: https://www.instagram.com/p/DEkEyDnoDKM/?igsh=dms4MjVyeWt2bGd1

My Take
Rais Mwinyi & Samia ni watu wa biashara,hawataki mambo ya ajabu ajabu ya kulishana maneno ya propaganda na kuharibiana maisha yanayoshadidiwaga na watu wa Bara.

Hakujawahi kuwa na wajanja pande za machogo, wanachojua ni kubaniana na kuwekeana ukuda. Bila washamba machogo dual citizenship ingekewepo kitambo sana.
Machogo normally huongozwa na walugaluga wasioielewa dunia na watu walojaa husda kubania wenzao na percentage kubwa ya machogo ni mazoba hakuna wanachoelewa hivyo kila kitu wanajionea sawa tu.
 
Hakujawahi kuwa na wajanja pande za machogo, wanachojua ni kubaniana na kuwekeana ukuda. Bila washamba machogo dual citizenship ingekewepo kitambo sana.
Machogo normally huongozwa na walugaluga wasioielewa dunia na watu walojaa husda kubania wenzao na percentage kubwa ya machogo ni mazoba hakuna wanachoelewa hivyo kila kitu wanajionea sawa tu.
Mbona hoja zako kama zinaashiria ni mtu mwenye chogo lake zuri tu? vipi kuwakandia ndugu zako au choko lako ni flat screen.
 
Hakujawahi kuwa na wajanja pande za machogo, wanachojua ni kubaniana na kuwekeana ukuda. Bila washamba machogo dual citizenship ingekewepo kitambo sana.
Machogo normally huongozwa na walugaluga wasioielewa dunia na watu walojaa husda kubania wenzao na percentage kubwa ya machogo ni mazoba hakuna wanachoelewa hivyo kila kitu wanajionea sawa tu.
Harafu unakutana na mbulula za Bara zinauliza eti hela za kujenga mashule ya gorofa zinatoka wapi 😂😂👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DEjnKmdqamc/?igsh=bnQyYXY4eGhpY2h3
 
Mbona hoja zako kama zinaashiria ni mtu mwenye chogo lake zuri tu? vipi kuwakandia ndugu zako au choko lako ni flat screen.
Ukikuta chogo anajielewa fahamu ya kuwa ameishi nchi zaidi ya moja, shule haijawahi kumtoa chogo ujinga, roho ya husda na uwendawazimu wa kufurahia kwamba awe juu peke yake wengine awafinye mbavu ili wawe wakiishi kwa kumnyenyekea.
 
Trilion 1,kwa visiwa 16 tu, kati ya visiwa 50,walikuwa wameukalia tu uchumi huu mnono, dah, katika 16, uwekezaji umefanyika kwenye 3 tu, hao ambao hawajaendeleza wanaweza kunyanganywa na kukodisha tena kwa wengine na hela zao kupotea kutokana na kutotimiza makubaliano, how znz can be rich by only playing with its Isles!
°HONGERA MAMA SAMIAH, HONGERA SANA.
 
Trilion 1,kwa visiwa 16 tu, kati ya visiwa 50,walikuwa wameukalia tu uchumi huu mnono, dah, katika 16, uwekezaji umefanyika kwenye 3 tu, hao ambao hawajaendeleza wanaweza kunyanganywa na kukodisha tena kwa wengine na hela zao kupotea kutokana na kutotimiza makubaliano, how znz can be rich by only playing with its Isles!
°HONGERA MAMA SAMIAH, HONGERA SANA.
Rais Samia & Mwinyi wamesema wale ambao hawajaendeleza watanyang'anywa.

Huku Bara kumejaa matapeli na majizi na majitu yenye roho mbaya 😂😂
 
Serikali ya Zanzibar imekusanya takriban dola milioni 380 (sawa na takriban Shilingi trilioni moja) kwa kukodisha visiwa vidogo 16 kwa wawekezaji wa kigeni.

Zanzibar ina zaidi ya visiwa vidogo 50, ambapo vingi kati ya hivyo vinafaa kwa uwekezaji wa utalii.

Hadi sasa, serikali imekodisha visiwa takriban 20 katika maeneo ya Unguja na Pemba kwa ajili ya uwekezaji wa kibiashara.

Hata hivyo, licha ya mapato hayo makubwa, ni visiwa vitatu tu kati ya vilivyokodishwa ambavyo vimeendelezwa.
===
My Take
Rais Mwinyi & Samia ni watu wa biashara,hawataki mambo ya ajabu ajabu ya kulishana maneno ya propaganda na kuharibiana maisha yanayoshadidiwaga na watu wa Bara.
View attachment 3199702
Hiyo trillioni moja ni kwa mwezi, kwa mwaka mmoja au muongo mmoja?

Vv
 
Back
Top Bottom