Zanzibaris challenge union with Tanzania in regional court

Mimi nia ngombe zangu nakamua. Wewe unaishi nyumba yakukodisha roysambu unafurahia 1027 bob ya itumbi after finishing school recently. Pathetic
Eti roy what? I finished my undergraduate studies a long time ago my friend, and still going on. I live in my own home in the great county of Kajiado. But who cares what anyone owns? This is jf buana. Naona unamtaja Itumbi kwenye post zako zote, alichokunyima hatujui sisi. Kamfate huko huko twitter au fb. Siku nyingine ukumbuke kusema ng'ombe wangu wala sio ng'ombe zangu. We kamua ng'ombe wa bosi kwa amani basi.
 
Kazi yakulipwa pesa kinyesi kama thao moja siwezi mimi. Tunawajua nyinyi maboys wa itumbi mlo maliza shule hivi karibuni, kila forum nkuja kukunia si twitter si fb si JamiiForums.com etc
 
[emoji23][emoji23] Zanzibar Haitokuja kutokea ikajitenga hata siku moja, Ni ndoto, Labda President Of the United Republic of Tz aseme vinginevyo.. Hicho ni kikundi cha watu tu Kama ilivyokua Mombasa..
 
Kazi yakulipwa pesa kinyesi kama thao moja siwezi mimi. Tunawajua nyinyi maboys wa itumbi mlo maliza shule hivi karibuni, kila forum nkuja kukunia si twitter si fb si JamiiForums.com etc
Huko kote ulikotaja mi simo! Hayo mambo yenu na Itumbi na ukabila wenu kenya talk yapeleke huko huko! Jf ina hadhi yake. Kwa lugha unayoitumia ni wazi kwa yeyote ule kujua akili zako ni za kiwango kipi. Hapa jf hatujakuja kujadili za NASA ama Jubilee, tuko hapa kwa mualiko wa jirani zetu. Hesabu nyuzi za malumbano ya kisiasa ya Kenya ni ngapi hapa jf. Chache sana, na zote zimeletwa hapa na watu wasojielewa kama wewe! Hapa wengi wetu ni wakenya ambao wamekuwa na uhusiano wa karibu na nchi ya Tz na wananchi wake. Kwangu imekuwa hivo tangia zamani sana, enzi zile za Moi na Kanu. Tumekuwa hapa jf kabla ya NASA na Jubilee na kilichotuleta hapa ni uhusiano wetu na watz, wa kibiashara, urafiki na mambo mengine mengi tu. Wewe endelea kujiabisha, naona siasa za peni mbili zimekuchokonoa hadi ukapinda!
 
hili nilifala sam999
 
Give them Independence, The lazy big Danganyika is only exploiting the little good Zanzibar
 
Wapeni watu nchi yao acheni visababu vya kipuuzipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…