W wizzyds New Member Joined May 22, 2017 Posts 1 Reaction score 0 Apr 5, 2019 #1 Jamani wa ndugu habarini? Naomba kujuwa zao la cocoa kwamaana ya eka moja inapandwa miche mingapi inakuwa. Utavuna baada ya muda gani, mavuno yapoje kwa mti, na bei ipoje sokoni kwa kg. Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani wa ndugu habarini? Naomba kujuwa zao la cocoa kwamaana ya eka moja inapandwa miche mingapi inakuwa. Utavuna baada ya muda gani, mavuno yapoje kwa mti, na bei ipoje sokoni kwa kg. Sent using Jamii Forums mobile app
Masamila JF-Expert Member Joined Jun 22, 2014 Posts 6,490 Reaction score 7,422 Apr 5, 2019 #2 Mbegu nzuri za kisasa zinatoa kg 1400 kwa hectare(eneo la upana wa mita 100 kwa mita mita 100) Bei inacheza sana lakini huwa si chini ya shilingi elfu mbili kwa kg
Mbegu nzuri za kisasa zinatoa kg 1400 kwa hectare(eneo la upana wa mita 100 kwa mita mita 100) Bei inacheza sana lakini huwa si chini ya shilingi elfu mbili kwa kg