Zao la karafuu mkoani Morogoro

Joined
Apr 3, 2022
Posts
14
Reaction score
8
Ninaomba kupata taarifa juu la zao la karafuu kwa mkoa wa Morogoro, ni sehemu gani inapatikana na bei yake kwa Sasa.

Asante
 
Ninaomba kupata taarifa juu la zao la karafuu kwa mkoa wa Morogoro, ni sehemu gani inapatikana na bei yake kwa Sasa.

Asante
Bei sh 12,000 Kwa kg 1 eneo .. mkuyuni.. na matombo .. tawa
 
Bei sh 12,000 Kwa kg 1 eneo .. mkuyuni.. na matombo .. tawa
Msimu wa mavuno unaanza lini?

Nna je wakati wa msimu bei ni tofauti ama?

Vipi ushuru ni bei ngapi?

Quality Je? Wakulima hawaweki uchafu au vikonyo?
 
Msimu wa mavuno unaanza lini?

Nna je wakati wa msimu bei ni tofauti ama?

Vipi ushuru ni bei ngapi?

Quality Je? Wakulima hawaweki uchafu au vikonyo?
Msimu huwa ni mwezi wa 6 mpaka wa 9 bei huwa inapanda na kushuka kulingana na Soko ushuru ni ule wa Selikari kwenye mageti ya kilimo tu karibu Matombo, mkuyuni hakuna wakulima wa karafuu Karafuu inalimwa vijiji vifuatavyo; Mlono, Konde, Tawa, Kifindike, Kitungwa, Kibongwa ambavyo vyote hivi lango lake ni Matombo
 
Hapo Matombo Nilipita December Nakwenda Kisaki
Kufika Msalabani Maeneo Hayo Karafuu Inanukia Bus Lote

Huwa Wanaleta Town Wachuuzi Wadogo Wadogo
 
Vip mpunga hapo matombo unapatikana sana kwa wingi
Hapo Matombo Nilipita December Nakwenda Kisaki
Kufika Msalabani Maeneo Hayo Karafuu Inanukia Bus Lote

Huwa Wanaleta Town Wachuuzi Wadogo Wadogo
 
Kilimo chenye tija hiki
Umewahi kulima Karafuu? Uvunaji wake ni shughuli hasa, halafu unaposikia kilo 1 ni 12,000/= mpaka ifike hiyo kilo 1 sasa [emoji23]

Unaweza kulima lakini ina changamoto haswa, na lazima utaajiri watu wa kukuvunia na wengi hawapendi kuvuna karafuu wanataka pesa ndefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…