OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Wakuu kwema? Hili zao la vanilla nimeona linapigiwa chapuo sana hasa kwenye bei yake nasikia ipo juu sana hadi kufikia usd 500 kwa kilo. Je ni kweli?
Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye uelewa wa hili zao waje watupe elimu kuhusu ulimaji wa hili zao. Mimi siyo muumini sana wa fursa zinazotangazwa mnoo kama hii ya hili zao maana nimesikia kuna kampuni huko Njombe ndo inahusika na usimamiaji na utafutaji wa soko.
Wewe utaenda na mtaji wako wao wanakupa shamba then unaanza kulima. Je hili zao kweli ina dili?? Maana huko kagera pia na Zanzibar huko kuna wakulima pia.
Karibuni wakuu tupeane elimu kuhusu hili zao na gharama zake na ni kwa muda gani hadi unavuna na kuingiza sokoni.
Ni hayo tu wakuu..
Kwa wadau wanaohusika na ulimaji au wenye uelewa wa hili zao waje watupe elimu kuhusu ulimaji wa hili zao. Mimi siyo muumini sana wa fursa zinazotangazwa mnoo kama hii ya hili zao maana nimesikia kuna kampuni huko Njombe ndo inahusika na usimamiaji na utafutaji wa soko.
Wewe utaenda na mtaji wako wao wanakupa shamba then unaanza kulima. Je hili zao kweli ina dili?? Maana huko kagera pia na Zanzibar huko kuna wakulima pia.
Karibuni wakuu tupeane elimu kuhusu hili zao na gharama zake na ni kwa muda gani hadi unavuna na kuingiza sokoni.
Ni hayo tu wakuu..