Zao la vanilla

 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimezinyaka kuwa kilo moja ni ela kibao
Ingia uicheze hio ngoma utakuja leta thread apa
utauziwa Miche bei ghali gharama za utunzaji kubwa halafu siku ya kuuza wanakushushia bei utauza kilo Alf 70πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ afu huna jeuri huna Kwa kuuza *****πŸ˜‚πŸ˜‚ umetumia millions ukija kuuza hata m aifiki unakufa na presha, pesa yenye ya mkopoπŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23] nimezinyaka kuwa kilo moja ni ela kibao
Na unaonekana wewe siyo mlimaji. Unatembea na upepo wa Bei.

Ngoja ukakutane na ngumi ya peresu peresu ya mandonga ndiyo akili itakukaa sawa. Kilimo kinahitaji passion na uwe tayari kwa lolote.
 
duuuu apo changa motoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…