mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
Ni kilimo kigumu kuwahi kutokea duniani [emoji23]
Na huko kwenye hizo threads unakutana na Bei ya kilo milioni moja.Kuna thread apa zinaeleza vizuri sana
Hili si ndiyo zao la kilo moja milioni?
Basi sawa!!
Ingia uicheze hio ngoma utakuja leta thread apa[emoji23][emoji23][emoji23] nimezinyaka kuwa kilo moja ni ela kibao
Na unaonekana wewe siyo mlimaji. Unatembea na upepo wa Bei.[emoji23][emoji23][emoji23] nimezinyaka kuwa kilo moja ni ela kibao
Ngumi inayokata konaNa unaonekana wewe siyo mlimaji. Unatembea na upepo wa Bei.
Ngoja ukakutane na ngumi ya peresu peresu ya mandonga ndiyo akili itakukaa sawa. Kilimo kinahitaji passion na uwe tayari kwa lolote.
Huyo akijui kilimo,amevutiwa na upepo wa Bei akapata mzuka.Ngumi inayokata kona
duuuu apo changa motooIngia uicheze hio ngoma utakuja leta thread apa
utauziwa Miche bei ghali gharama za utunzaji kubwa halafu siku ya kuuza wanakushushia bei utauza kilo Alf 70πππ afu huna jeuri huna Kwa kuuza *****ππ umetumia millions ukija kuuza hata m aifiki unakufa na presha, pesa yenye ya mkopoππ