barnababoy
Member
- Aug 29, 2017
- 16
- 11
Mara Dai kavuta, mali zoote zinaenda kwa zari kama za Ivan zilivyo pigwa, atakua Queen of the Devil wa EAHapo kichwani anaongea kitu kimoja tu tena kwa herufi kubwa
DEAL DONE!
ombi zito sana na lenye manufaa mkuu. Mungu akupe haja ya moyo wakoMola naomba unijalie kizazi chema
Mara Dai kavuta, mali zoote zinaenda kwa zari kama za Ivan zilivyo pigwa, atakua Queen of the Devil wa EA
hahahahaaaaa,mzee natumai nawe fimbo za TRA zilikutandika vyema siku hiyo!Alafu mkiletewa swali la AGOA, SDG na makinikia muanze kusema mtihani ulikua mgumu!!
Duuuhjuzi kati Celeb wakiganda muke ya diamond platnumz msaniii mkubwa Tanzania baada ya kuelewa aliamua kwenda kwao, huko alifanya mambo mengi na alionekana mwenye furaha muda wote mpaka pale alipofika kwenye kaburi la mama yake na kufanya haya.
Mimi ni injinia mkuu, mambo ya TRA na mimi ni sasa na ardhi na mbingu!hahahahaaaaa,mzee natumai nawe fimbo za TRA zilikutandika vyema siku hiyo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewaza mbali sana!!Mara Dai kavuta, mali zoote zinaenda kwa zari kama za Ivan zilivyo pigwa, atakua Queen of the Devil wa EA
Sifa kubwa ya waganda ni "mma" yaani maji!!