Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Zari afulia ,avaa BALENCIAGA FEKI Za elfu 10 ,10 Kkoo.

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Ha ha ha ha ha Zarina Hassan anapata tabu sana ,sidhani hata hiyo a.k.a ya Zari The Bosslady kama anaitendea haki.

Hivi kweli mtu kama Bosslady unaweza ukavaa kiatu cha elfu 10????? Balenciaga zile OG kabisa zinauzwa kuanzia elfu 70 na kuendelea ingawa siku hizi zimeshuka bei mpaka elfu 50 unapata, lakini Zari kavuka mpaka kaamua kuvaa Balenciaga ya 10K [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ama kweli kufulia nako ni K.

Kwa ambao wameshawahi kuvaa Balenciaga watakubaliana na mimi kwamba Balenciaga za Zari ni feki.
20181110_014253.jpeg
 
Sawa ndio hili ni jukwaa la celebrities na sitegemei kukuta bei ya debe la mpunga .....vilevile ndio kila mtu ana maisha yake na bando lake hapangiwi jinsi ya kulitumia ....ila kwa "a penile human being" this is too much
Sawa, kakojoe ukalale.
 
Back
Top Bottom