Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Birthday ya mtoto wa taifa bila mmbongo hata mmoja, si baba, bibi wala shangazi.
Waswahili tuna tabu sana huyo mama mtoto alisha eleza kuwa hiyo ni PRE-BIRTHDAY PARTY aliyo fanya kwa ajili ya rafiki na jamaa zake waliopo kule pamoja na wanawe wakiume (kaka zake Tiffa) na baada ya hapo Birthday rasmi itakuja fanyika huku, Loh! tayari Orchestre Chakubimbiz imesha litengenzea CD na je ikifanyika huku sijui watabadili wimbo kuwa kaka zake Tiffa wamesusa kuja.Dai amesema next week wakutane Dar kwa Aunts na uncles. So nahisi party kubwa itakuwepo Darrrr. #SHILAWADU# wajiandae
Tatizo wabongo walianza kumtisha mara cjui mama ubaya atakwepo mara mobeto cjui nini akaona ajifanyie zake huko mbararaHii ni pre- na yuko Uganda si atakuja tutaona kama ataalika au laa
Hata bibi mzaa mama hakuwepo,Hiyo waliita pre besidei lunchi... Unataka nini tenamuhimu walisherekea na kaka zake na pia jamaa na marafiki wa huko....Zari akili kubwaaaa hata mimi ningefanya na kakaz waenjoy...pia leo alizaliwa mwanae mwingine..hivyo tarehe 6 Tiffah na 7 Pintow... Yupo nao wote kusherekea... subirini party yenyewe kwa Baba ake Tanzania
Alikuja kwenye party ile ya mwanzo, Mabeto sijui Mobeto akawa MC na amevaa sare na wifi, mama mkwe kauchuna, mganda wa watu akaona isiwe shida.Tatizo wabongo walianza kumtisha mara cjui mama ubaya atakwepo mara mobeto cjui nini akaona ajifanyie zake huko mbarara
ni mgandaHakuna mbongo hats mmoja kwani princess tiffah sio mbongo?
so mama diamond na zari haziivi siku hizi...Jana tu mkuu ndiyo pre party ilifanyika, pamoja na kuwa sitapewa card lakini yanayojiri tutayafahamu.
hahahahahahah huyo mama mchukue yeye sasa mabeto aishi naeMama anampenda Mabeto.