Zari amuuliza Diamond “Madale state lodge au guest house?

Zari amuuliza Diamond “Madale state lodge au guest house?

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
zari-lia-660x400.jpg


Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekenaTunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao.

Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kuamua kuandika ujumbe kwa Diamond Platnumz kupitia mtandao wa snapchat.

Screen-Shot-2018-01-18-at-12.16.07-PM.png
 
Ndio ni dangulo, maana guest/Lodge/hotel zina heshima yake.

Out of topic: hivi kuna mwanaume anaweza kudondosha chozi kwa sababu ya mwanamke?? If yes; may be kuna siku Ivan marehemu Wenda alitoa chozi kwa sababu ya zari kumsarit? .... Who knows? May be yes.

Lakini kwa upande mwingine Wenda nae Ivan aliwahi kumtenda zari. Kwa ili staki kulisemea.

Dhambi ya usalti haisameheki, petro alivyomsalti yesu alijinyonga. na kila chozi linalotoka kwa ajiri ya MTU lazima mungu alipeee. Dia zari hiii ndo adhabu yako sio kwamba nakuchukia.may be na wewe ulishalizwa ulikuwa unataka pumziko la moyo.

Chozi la MTU halidondoki bureeee najua Wenda zari upo humu jf au vibaraka wako wapi humu na wanasoma hapa,

Kwa MTU yeyote ambae alishawahi kutendwa na wewe zari tafuta bonge la movie ya kikorea inaitwa ;

GLASS MASK. Itajibu maswali yote yanayosumbua moyo wako.

Jioni njema Niko episode ya 94 nikifika tu home jion najipumzisha na hii series. mejifunza mengi sana kwa wenye moyo kama wangu huwezi kuona hii movie ukamsarit MTU. Lakini pia hata kabla ya kuiona sijawahi kumsalti MTU.
 
Hivi hii inanitokea mimi tu au? Humu ndani tunaishi wawili tu, lakini siku baada ya siku vijiko vinazidi kupungua, namuuliza mamsap na yeye hajui kinachoendelea. Hivi unaweza kuwa na idea hivi vijiko vinakwenda wapi?
 
Ndio ni dangulo..........

Out of topic: hivi kuna mwanaume anaweza kudondosha chozi kwa sababu ya mwanamke?? If yes; may be kuna siku Ivan marehemu Wenda alitoa chozi kwa sababu ya zari kumsarit? .... Who knows? May be yes.

Lakini kwa upande mwingine Wenda nae Ivan aliwahi kumtenda zari. Kwa ili staki kulisemea.

Dhambi ya usalti haisameheki, petro alivyomsalti yesu alijinyonga. na kila chozi linalotoka kwa ajiri ya MTU lazima mungu alipeee. Dia zari hiii ndo adhabu yako sio kwamba nakuchukia.may be na wewe ulishalizwa ulikuwa unataka pumziko la moyo.

Chozi la MTU halidondoki bureeee najua Wenda zari upo humu jf au vibaraka wako wapi humu na wanasoma hapa,

Kwa MTU yeyote ambae alishawahi kutenda na wewe zari tafuta bonge la movie ya kikorea inaitwa ;

GLASS MASK. Itajibu maswali yote yanayosumbua moyo wako.

Jioni njema Niko episode ya 94 nikifika tu home jion najipumzisha na hii series. mejifunza mengi sana kwa wenye moyo kama wangu huwezi kuona hii movie ukamsarit MTU. Lakini pia hata kabla ya kuiona sijawahi kumsalti MTU.
Dear sister Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake na Usihukumu kwa kuconclude usaliti unamtafuna zari, Hujui Ivan alimkosea au walikoseana nini zari mpaka zarina aanze kuangaika na Ivan asikubali ku move on!kumbuka sio kwamba alivotoka kwa Ivan akaja kwa Dai hell No, Huwenda yeye Ivan ndo dhambi ilikuwa inamtafuna well then by that tusiconclude maisha ya watu tusiyoyaishi kwa sababu hatuyajui
 
Hivi hii inanitokea mimi tu au? Humu ndani tunaishi wawili tu, lakini siku baada ya siku vijiko vinazidi kupungua, namuuliza mamsap na yeye hajui kinachoendelea. Hivi unaweza kuwa na idea hivi vijiko vinakwenda wapi?
Jalalani
 
Ndio ni dangulo, maana guest/Lodge/hotel zina heshima yake.

Out of topic: hivi kuna mwanaume anaweza kudondosha chozi kwa sababu ya mwanamke?? If yes; may be kuna siku Ivan marehemu Wenda alitoa chozi kwa sababu ya zari kumsarit? .... Who knows? May be yes.

Lakini kwa upande mwingine Wenda nae Ivan aliwahi kumtenda zari. Kwa ili staki kulisemea.

Dhambi ya usalti haisameheki, petro alivyomsalti yesu alijinyonga. na kila chozi linalotoka kwa ajiri ya MTU lazima mungu alipeee. Dia zari hiii ndo adhabu yako sio kwamba nakuchukia.may be na wewe ulishalizwa ulikuwa unataka pumziko la moyo.

Chozi la MTU halidondoki bureeee najua Wenda zari upo humu jf au vibaraka wako wapi humu na wanasoma hapa,

Kwa MTU yeyote ambae alishawahi kutendwa na wewe zari tafuta bonge la movie ya kikorea inaitwa ;

GLASS MASK. Itajibu maswali yote yanayosumbua moyo wako.

Jioni njema Niko episode ya 94 nikifika tu home jion najipumzisha na hii series. mejifunza mengi sana kwa wenye moyo kama wangu huwezi kuona hii movie ukamsarit MTU. Lakini pia hata kabla ya kuiona sijawahi kumsalti MTU.
Sio Petro bali Yuda ndiye aliyemsaliti Yesu
 
Apambane na hali yake alivyokubali kiben ten alijuaje kwani?

Na hao vibaraka wapuuzi woteee!watatukana kila mwanamke wa mondi km wanalipwa vile!

Hawachoki
 
Ndio ni dangulo, maana guest/Lodge/hotel zina heshima yake.

Out of topic: hivi kuna mwanaume anaweza kudondosha chozi kwa sababu ya mwanamke?? If yes; may be kuna siku Ivan marehemu Wenda alitoa chozi kwa sababu ya zari kumsarit? .... Who knows? May be yes.

Lakini kwa upande mwingine Wenda nae Ivan aliwahi kumtenda zari. Kwa ili staki kulisemea.

Dhambi ya usalti haisameheki, petro alivyomsalti yesu alijinyonga. na kila chozi linalotoka kwa ajiri ya MTU lazima mungu alipeee. Dia zari hiii ndo adhabu yako sio kwamba nakuchukia.may be na wewe ulishalizwa ulikuwa unataka pumziko la moyo.

Chozi la MTU halidondoki bureeee najua Wenda zari upo humu jf au vibaraka wako wapi humu na wanasoma hapa,

Kwa MTU yeyote ambae alishawahi kutendwa na wewe zari tafuta bonge la movie ya kikorea inaitwa ;

GLASS MASK. Itajibu maswali yote yanayosumbua moyo wako.

Jioni njema Niko episode ya 94 nikifika tu home jion najipumzisha na hii series. mejifunza mengi sana kwa wenye moyo kama wangu huwezi kuona hii movie ukamsarit MTU. Lakini pia hata kabla ya kuiona sijawahi kumsalti MTU.
What goes around .....
 
Halafu kwenye post kama hii unaweza kukuta wanawake zaidi ya 1000 wanaamini kila kitu lakini ukiwauliza ikiwa wao wameshawahi kwenda kwenye hiyo "Madale Guest House" utashangaa kukuta hakuna hata mmoja angalau aliyewahi kuigusa kwa nje hiyo guest let alone kuingia ndani!!!
 
Wcb hawawezi kuachia nyimbo mpya bila kiki

Maisha yao hayaendi bila kiki hapo Diamond atakuwa na nyimbo mpya hivyo wanaanza kuwazuga watu

Uswahili mwingi
Hoja kama hizi ni ZILIEPENDWA manake kama unadhani kiki ndiyo inayopaisha muziki wa WCB basi ingia studio na wewe ufanye ngoma kisha tengeneza kiki!

Btw, hivi unafahamu ni viumbe wa Instagram ndio walioanzisha hilo jambo na hapo Zari ndo akawa anawajibu?! Sasa suala la kiki linatoka wapi hapo?
 
Back
Top Bottom