Zari amuumbua Hamisa Mobeto, aanika Live uchafu wake na Diamond

Zari, dada yangu
MTU MZIMA akivuliwa nguo HUCHUTAMA.
mimi nakupendaga bure
lakini mambo ya chumbani
Na ya sirini usitangazie DUNIA.
 
Kaolewa lini zari?!!

Anajidhalilisha sana zari!
Yule hana tofauti na mabeto.
Wote ni wagegedwaji tuu, hawana ndoa na dai, sema tofauti yao ni kwamba zari kamzalia mond maana anaandaa mafao ya uzeeni Teh Teh, zari mjanja yule ... ameona hali ya hela ngumu kaamua kuzaa tuu ili aishi kwa hela za matumizi za watoto... ila naamini daimond lazma atakuja kuoa mwanamke mwingine tofauti na zari au asioe kabisa aendelee kugegeda ladha zote.
Sasa shogaako kuzaa tuu Ndio ashajimilikisha Mume teh teh...
Zari anazeekq vibaya
 
Anatia aibu mama mtu mzima hovyoo!!!

Mi nimependa sana mobeto anavyomkomesha maana kamuonea sana Wema

Ngoja ajifanye yy ndo ana hakimiliki kisa anachoereshwa mitandaoni ndo anajua anapendwa!!

Mtu anekupenda atakuheshimu,kukuthamini bila hata hizo show off za kijinga!
 
Kwa nyodo alizokuwa anajinyodoa nazo walah ata kama ningekuta kinga iliyotumika nisingeongea ningepiga kimya. Huyu mmama ana akili za kitoto hadi kero.
Yeye anajua kamkomesha mabeto ila hajajua kwamba anajidhalilisha maana kila mtu anamcheka.
Kama vile namuona huddah anavyocheka hadi anapaliwa.
 
Ila mondi ananikeraga hapa 2 hana adabu na heshima. Kama ni kwel kwanini usiende na chepuko lako ata hotel za $100 kwake sio big deal. Yan haya ni madharau mimi ningekua zari ivyo viatu visingenitosha. Kaona apunguzie hasira snap yaan khaaaa.
Na kuhusu zari kuolewa angelina na brad wemekua patners for 14 years wameoana miaka miwil ndoa chali. Apo kuna funzo. Kila kona wa2 wanajua zari ndiye anayetoka na diamond sio lzm mpk wawe na ndoa. If it's tru, mondi is still a boy not a man. Miaka 27 lkn bado toto. Mungu ampe moyo wa ujasiri n uvumulivu zari asipost mambo yao mitandaoni.
 
Yule hajielewi ndo maana anahis Hamisa ndo kadhalilika kumbe yy ndo mbibi ndo kaumbuka

Hakuna dharau mbaya km hiyo aliyoifanya diamond ya kulala na mwanamke mwingine chumbani kwako palepale

Ila zari ana nyota ya kuzaa tu!

Nyota ya kuolewa hana
Hamissa na mondi wanachemistry nzuri sana!
 
Tuache utani Hamisa Mobeto mzuri jama...
 
Zari hivi yule mama anajiheshimu au kujielewa hata maana ya stara!

Uzee ule watoto wanne na mimba juu bado anatafuta cheap popularity.....

Asante Mungu kunifanya nijitambue japo sio msafi na mkamilifu!!!
Mlitaka afanyaje??? Jaman nayeye anamoyo Wa nyama.....
 
Zari anapaswa kutumia hekma sana!!

Yy ni mmama wa watoto wanne ajiheshimu for the sake of the kids...

Ana watoto wakubwa hata km uzungu sio wa hvyo!

Na zari atulie tu mondi bado mtoto sana!yy kashafanya yote mpk kujirikodi anajipiga punyeto

Mwanaume yupi angevumilia....!

Sema hicho cha kumleta ndani ndo kinauma haswaaa!!
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Wanawake wengi hawampendi zari, hawapendi kumuona zari na platinum

Wanafanya kila aina ya hila kuhakikisha diamond anamwacha zari

Kama hereni zimekutwa room Basi wakulaumiwa ni platinum kwa uhuni....

Lakini anatukanwa zari,

Huenda zari Alisha chukua hatua dhidi ya uhun Wa simba, labda hatua hazikuzaa matunda,

Anachokifanya sasa ni kutafuta huruma za fans, na kumuaibisha simba at least akili irudi,

Kumbe anajisumbua, zaidi ya kuambulia matus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…