But hii kitu inaweza pandwa na vidudu mtu vile vile...mi nna amini hii kitu ni mpango shetan ESMA NA MAMA YAKE hawashindwi kitu wa tandale wale....wao wana access na chumba cha dai..wamefanya kumkera zari i believe that..Hahahaaa
Ukiona manyoya... Ujue ashaliwa
[emoji124]
Zaweza kuwa za mobeto pia ila zikachomekwa ndn...adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.esma na mamake wanataka dai awat.....e wao...siwaamini waleUwez jua za nani wasafi wote wanavaa hereni
Anawaletea at least mumsaidie kumsema simba.....Unaanzisha vagi ndani kwako...
Hadharani hivi mtu mzima unaonekana umeshindwa kazi!
Zaweza kuwa za mobeto pia ila zikachomekwa ndn...adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.esma na mamake wanataka dai awat.....e wao...siwaamini wale
Eeehhh!Uzalendo kwanza!Anawaletea at least mumsaidie kumsema simba.....
Kumbe ndio mna mpa kichwa simba, et hamisa mzuri....
umewanote mkuuHao jamaa wagoroko sana wanatoa nyimbo mbaya wakiona zinabuma wanaanza kutengeneza kiki za kipumbavu Kama hizo!
Usiwasingizie hawa kubali dai amemchoka au uswahili mwingi ukiangalia alichoandika kwenye status yake ya cm. Okay let's take it kwamba wameweka dai kama anampenda kwadhati si angezificha hizo hereni au kumwambia naona Ezma wamenifanyia. Status " mwenye hereni unaitwa huko "profile inapicha ya MobetoBut hii kitu inaweza pandwa na vidudu mtu vile vile...mi nna amini hii kitu ni mpango shetan ESMA NA MAMA YAKE hawashindwi kitu wa tandale wale....wao wana access na chumba cha dai..wamefanya kumkera zari i believe that..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12]Zaweza kuwa za mobeto pia ila zikachomekwa ndn...adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie.esma na mamake wanataka dai awat.....e wao...siwaamini wale
Dunian kuna mambo..sio kila kitu lazma uamini..think on the other side too...nani hajui kuna beef btn kibibi mtu sandra ..esma na zari...we all know that....hawa wanawake km wamefanya haya kwa mwenzao tena ni mjamzito Mungu atawahukumu na kuwalaani...hawaon hali yke...wangeacha azae ndio wamchezee lkn not at tht condition..huyo esma kahaba km mama yk kila mtt na baba yake...wanataka na dai nae azae hovyo....unaakili sana....
Kila mtu ana past zake mpk kuamua kutulia n watoto wanampenda mama yao despite of wrongnes anazo fanya. Na issue hii ya hamisa probably zari anaijua muda ila kitendo cha kukuta vile vi2 hasira zimempanda pa kuzishusha mtandaon ndo maana namuombea hiyo roho itoke. Mambo ya kufight for a man % kubwa ya wanawake 2meipitia.Zari anapaswa kutumia hekma sana!!
Yy ni mmama wa watoto wanne ajiheshimu for the sake of the kids...
Ana watoto wakubwa hata km uzungu sio wa hvyo!
Na zari atulie tu mondi bado mtoto sana!yy kashafanya yote mpk kujirikodi anajipiga punyeto
Mwanaume yupi angevumilia....!
Sema hicho cha kumleta ndani ndo kinauma haswaaa!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hili neno wagoroko umenikumbusha longiiii
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dunian kuna mambo..sio kila kitu lazma uamini..think on the other side too...nani hajui kuna beef btn kibibi mtu sandra ..esma na zari...we all know that....hawa wanawake km wamefanya haya kwa mwenzao tena ni mjamzito Mungu atawahukumu na kuwalaani...hawaon hali yke...wangeacha azae ndio wamchezee lkn not at tht condition..huyo esma kahaba km mama yk kila mtt na baba yake...wanataka na dai nae azae hovyo....
Zari ni mzee sawa diamond si age yke sawa na zari nae ukute ana makosa yke makubwa tu but dont ever stress a pregnant woman jaman...there are two lives there...either afe yy kwa stress au mtt...watafurahi...mxiiu ndio shida ya kuwa na watu low class
Teh kwa hiyo anaonewa wivu kisa yupo na Dai, mbona kipindi yupo na Ivan alikuwa haonewi wivu?. Kipindi kile kweli she used to act like a real bosslady, ila tangu ahamie Tandale mweeee. Dai anajua kuambukiza wenzie utandale jamani khaaa, unajikuta tu mswaziii afu anajikuta ana hatimiliki na Dai mweeWanawake wengi hawampendi zari, hawapendi kumuona zari na platinum
Wanafanya kila aina ya hila kuhakikisha diamond anamwacha zari
Kama hereni zimekutwa room Basi wakulaumiwa ni platinum kwa uhuni....
Lakini anatukanwa zari,
Huenda zari Alisha chukua hatua dhidi ya uhun Wa simba, labda hatua hazikuzaa matunda,
Anachokifanya sasa ni kutafuta huruma za fans, na kumuaibisha simba at least akili irudi,
Kumbe anajisumbua, zaidi ya kuambulia matus
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kila mtu ana past zake mpk kuamua kutulia n watoto wanampenda mama yao despite of wrongnes anazo fanya. Na issue hii ya hamisa probably zari anaijua muda ila kitendo cha kukuta vile vi2 hasira zimempanda pa kuzishusha mtandaon ndo maana namuombea hiyo roho itoke. Mambo ya kufight for a man % kubwa ya wanawake 2meipitia.
Na tatzo ni nyota pia, haji adamu mbongo muvi kam2kana mke wake matusi makubwa makubwa insta lkn haijakiki km ya zari.