Aisee! mambo ni mengi sana, muda mchacheIla Leo tukinao kajua kunikomeshea mtu , kumbe bidada nae yuko vzur kwenye kuchamba🤣, halafu Ana matusi hatari , nimeshangaa Bi kigagula alivyojibu kwa upole vile utadhan Sio yeye, Ila nimegundua mange hajui kuongea vizur physically unlike akiwa anatype, yani ukitaka kichambo cha mange vizur , ngoja akutaipie, atakuchamba mpaka mshipa ya ubongo ikusimame, Ila Leo dada wa taifa kaniangusha, sio wa kuzidiwa kuchambwa na zari .
Ila zari kiboko , eti kamuuliza swali moja tu , ye K yake imemsaidia nini ? 🤣🤣. Naona Bi dada anajibaraguza tu Hana cha kuongea, Leo mama kenzo kapatikana, halafu ukiangalia tu ile video ya mange utaona deep down she envy Zari's opulent living , na anamuogopa sana zari sema tu ndo vile atafanyaje kuondoa maumivu.
Ila mange unafeli wapi dada yetu jaman , unajua tunakutegemea kutupeperushia bendera yetu huko US? , yani na elimu yote hyo uliyokua nayo , na ujanja na shape nzuri , maana sio siri mange unalipa, you have that English figure of which most Rich white men craving for , and frankly speaking , mange you very smart kichwani , una upeo wa akili mkubwa sana, Sasa sijui kwa nini instead of making yourself , unaanza ku attack successful woman ambaye literally kakuzidi kila kitu [emoji16], dada mange ukubali tu zari is your idol , role model , a person you are looking up to , im very very very very sure you badly want that extravagant lifestyle ya zari , you wish you had a man to buy you a house in a wealthiest estate kama ya zari sema tu ndo vile , sijui una gundu au laana .
Dada mange kwa u smart ulionao, elimu yako nzuri , I'm sure ata ungekua na gang ya Ma prostitute expensive uko US ambao uwaibia wazungu pesa na kuwa drug or black mail them , Sasa dada yetu jaman unakosea wapi ? , maana sijui kazi Tena kuajriwa Ndo basi, and you are almost 40 , with three kids , huna lolote mjini zaidi ya followers mil 3 Instagram , sijui hata kwa nini Uwa unamsema wema sepetu hana akili wakati nadhan akili zenu tu wote sawa
Nasikia anatoka na Fundi Boda Bora Mzee wa kizungu. Unakumbuka ile Jacuzzi chafu na picha za toilet? Elimu imempa nini zaidi ya kubully watu IG kwa kudandia Ugomvi wa watuu wasiomhusu. Zari siyo Level ya Mange.Ahahahaah mange buanaa, nilijua walau atatoa kadi ya Gari , maana nyumba Hana , anaishia tu kuzunngumzia zilipendwa, mume Hana , kazi Hana , nyumba Hana , hata Mia Hana
Ebu wadau wengine nikumbusheni na vitu vingine ambavyo bibi kigagula hana🤣🤣
Ngoja niongezee, Nyumba kama ya zari , Hana , Nguo za Gucci kama za zari , Hana , Ferrari kama ya zari Hana , Range Rover kama ya zari , Hana .
Ww unasema ulikua mfanyakazi Dubai , ULIKUA , mwenzio ZARI ni CEO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu usituchoshe na hizo past tense zako , tunataka present tense , what do you have now ? Not what you had , au mpaka kiingereza nacho HUNA🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mange , inshort zari kakupiga bao kila idara, najua sana unataman maisha ya watoto wa kina zari Ndo wangekua nayo wakina kenzo , but too bad karma served you peri peri burnt chicken 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mange mange , I feel your pain , after all what you had , a good education , fake rich husband , fake life style , now tell us in details , what do you have ? Bwauauauauaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ni kweli si level yake, Mange hajawahi kuwekwa detention kwa kukata panga umri kwenye passport.Nasikia anatoka na Fundi Boda Bora Mzee wa kizungu. Unakumbuka ile Jacuzzi chafu na picha za toilet? Elimu imempa nini zaidi ya kubully watu IG kwa kudandia Ugomvi wa watuu wasiomhusu. Zari siyo Level ya Mange.
Ahahaha binamu I love you 🤣🤣🤣🤣, mwambie bibi kigagula aache kuweka vyeti ndani akaajiliwe kwa zari pale awe hata secretary jaman 🤣🤣🤣🤣🤣, unaringia masters wakat wenzio ni Ma CEO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji16][emoji16][emoji16], mange Leo lazima tumkalishe ***** , Kwan zari Ndo alimtuma azae na mzungu bila akili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji16]🤣🤣[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Leo nimegundua kwanini nchi yetu bado iko nyuma kiuchumi yaani mtu anaenda chuo anasoma miaka kadhaa kwa ajili ya kupiga picha na lile joho tu wakija mtaani wanalia njaa maana elimu yao ya kukariri na sio ya kung'amua mambo na kuweza kujikwamua kiuchumi, Mange na master yake yote aliyoipatia huko Dubai master ya kuandika makombe sijui hana lolote maskini chuki, wivu na roho mbaya imemjaa shame on her.
Ni kweli si level yake, Mange hajawahi kuwekwa detention kwa kukata panga umri kwenye passport.
Alilala detention centre alifikiri wazungu wajinga, akate panga miaka ili K izidi kupata soko.Ooh waaow mada hii umesahau mlimripoti kabeba madawa ya kulevya
Wanawafundisha kwamba K inalipaWale wote ni vigagula sasa sijui wanatufundisha nini sisi watoto wao[emoji2958]
Na bado K yake in suffer 😛😛😛
Na mwanaume bila Peni hakuna furahaWanawafundisha kwamba K inalipa
K yake si private part tena, acha hao wanaojulikana kuna wale wanaopiga kimya kimya.[emoji23][emoji23]ya kwake kwa faida yake
K yake si private part tena, acha hao wanaojulikana kuna wale wanaopiga kimya kimya.
Alilala detention centre alifikiri wazungu wajinga, akate panga miaka ili K izidi kupata soko.
I may not be fan wa mange but kwa walio fans wa Zari wamwambie amejiaibisha nasisitiza tena amejifedhehesha!Ujue chizi akikupokonya taulo ukiwa umetoka kuoga afu wewe ukaamua kumkimbiza wewe ndo unaonekana chizi na yule chizi anaonekana mzima kabisa wa afya!I insist Zari amejifedhehesha as a bosslady(hii kwa mujibu wake)
Hapa pussy ana K, hiyo ya Zarina ni incubatorHakulala huko,hater mwenzio alianzisha uzi hapa dakika tatu kikamshuka shuuu. Aiseee K ya zari inaumiza wengi pole mdangaji mdogo
What’s your point here?! Na wewe ni muuza K kama hao slay queensMwanamke bila K hakuna maisha
Na mwanaume bila Peni hakuna furaha