Zari Amvaa Mange Kimambi..

Leo nimegundua kwanini nchi yetu bado iko nyuma kiuchumi yaani mtu anaenda chuo anasoma miaka kadhaa kwa ajili ya kupiga picha na lile joho tu wakija mtaani wanalia njaa maana elimu yao ya kukariri na sio ya kung'amua mambo na kuweza kujikwamua kiuchumi, Mange na master yake yote aliyoipatia huko Dubai master ya kuandika makombe sijui hana lolote maskini chuki, wivu na roho mbaya imemjaa shame on her.
 
Aisee! mambo ni mengi sana, muda mchache
 
Nasikia anatoka na Fundi Boda Bora Mzee wa kizungu. Unakumbuka ile Jacuzzi chafu na picha za toilet? Elimu imempa nini zaidi ya kubully watu IG kwa kudandia Ugomvi wa watuu wasiomhusu. Zari siyo Level ya Mange.
 
Nasikia anatoka na Fundi Boda Bora Mzee wa kizungu. Unakumbuka ile Jacuzzi chafu na picha za toilet? Elimu imempa nini zaidi ya kubully watu IG kwa kudandia Ugomvi wa watuu wasiomhusu. Zari siyo Level ya Mange.
Ni kweli si level yake, Mange hajawahi kuwekwa detention kwa kukata panga umri kwenye passport.
 
Hio ajira aliikosa dubai sembuse kwa Trump abako kiwa mupenzi mutazamaji wa zari
 
Mbaya zaidi na joho lake akaishia kuwa machinga napo ukamshinda kakukuruka weee mwisho kaangukia pua kwenye siasa
 
I may not be fan wa mange but kwa walio fans wa Zari wamwambie amejiaibisha nasisitiza tena amejifedhehesha!Ujue chizi akikupokonya taulo ukiwa umetoka kuoga afu wewe ukaamua kumkimbiza wewe ndo unaonekana chizi na yule chizi anaonekana mzima kabisa wa afya!I insist Zari amejifedhehesha as a bosslady(hii kwa mujibu wake)
 
Hakulala huko,hater mwenzio alianzisha uzi hapa dakika tatu kikamshuka shuuu. Aiseee K ya zari inaumiza wengi pole mdangaji mdogo
Alilala detention centre alifikiri wazungu wajinga, akate panga miaka ili K izidi kupata soko.
 
Daah mnatia huruma kajiaibishaje sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…