Zari ana mkosi na wanaume: Muda ukifika ataachana na muuza karanga kama ilivyotokea kwa Ivan

Ww c unaendekeza dhiki, unachojali pesa, yeye alisema Ivan alikuwa anampiga na kumdharau. Ukiona mwanamke anavumilia hayo ujue umasikini unamtesa. Cc wanaume tumepewa tamaa ya macho, wote tupo hvyo sema wengine tunajikaza kwasababu ya bajet, ubahili, uwezo au dini. cha muhimu ni kumheshimu na kumjali mkeo, ndo Daimond anachofanya.
 
Yametimia
 
You said Mtarban
 
Ile dua naona imetimia mkuu, you were right from the beginning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…