Anaungana na wanawake wengi walio wa kweli! Amefuata pesa! Diamond akifilisika leo hata Simu yake hatapokea!hakuvutiwa kimapenzi thats good
Wote wametoka MTIBWA wamehamia SIMBA.
Ndiyo maana yakeAnaungana na wanawake wengi walio wa kweli! Amefuata pesa! Diamond akifilisika leo hata Simu yake hatapokea!
Kwa miaka waliokaa na dini yao ni mke toshaAlivutiwa, hakuvutiwa atajua mwenyewe!!
Tunachojua yeye ni mali ya Diamond tena kamilikiwa kienyeji..!!! Full stop.
kavutiwa na hela, Mungu humsahaulisha mtu kwenye kauli zake ili ujue undani wakehakuvutiwa kimapenzi thats good
Ndiyo mkuukavutiwa na hela, Mungu humsahaulisha mtu kwenye kauli zake ili ujue undani wake
Kwahiyo alivutiwa na mtonyo,Gold diggerBora kasema ukweli kuwa hakuvutiwa kimapenzi.
Kavutiwa na pesa basi.hakuvutiwa kimapenzi thats good
Ndio maana diamond namkubali saanaAkihojiwa na kituo maarufu cha radio mjini, staa na mpenzi wa mwanamuziki maarufu nchini Diamond Platinumz, Zarinah Hassan, amesema kuwa hakuna kilichomvutia kwa mwanamuziki huyo ila wamejikuta tu wakiwa kwenye mawasiliano.
Zari aliendelea kutiririka kuwa hata walivyoonana na Diamond kwa mara ya kwanza hakuvutiwa a nae kimapenzi.
=======
Tazama video kadhaa za mahojiano hayo..
Kaongea vibaya sanaSijaisikia hiyo interview lakini maneno kama hayo ndiyo yatampa ugonjwa wa moyo bi Sandra.
Too badkasikilize binamu, alisema hta alivyomuona mara ya kwanza alimuona diamond sio mwanaume anayemfaa,yani hakua excited kabisa kumuona,ilitokea tu wakawa wapenzi,pia alisema huwa wanagombana kutokana na mazingira tofauti waliyokulia yan alimaanisha diamond mswazi sana