Zari Hotter than Them

Sauti mbaya,pesa tuu ndio imembeba japo napo hajawika hata nukta! Nampenda sana old zari ila huyu new zari nehi nehii papii.
U strong woman woote na hashuo zimedoda,wa zaman alikua anawavutia wengi kua wasaka noti thou sijui at tht early age ya 20's pesa mingii vile alitoa wap?
 

Weka na yako tulinganishe......

Btw wa zamani na sasa kuna tofauti gani??
 
Huu upuuzi wa kutojifahamu Zari ni nini maana Kama mnanikumbusha Pr J na Wimbo wake Zali la Mentali
 
Mmh...kwa mziki zari hapana.....biashara Yes!
 
Ahahaaa!!kwa kucheza mziki amechemsha mama watatu
 

Roho inakuuma.
Ila pole, ndo vile tena.
 
Weka na yako tulinganishe......

Btw wa zamani na sasa kuna tofauti gani??

Ingia u tube utamuona wa zamani alivyokua hot na tuheshima kiasi kwa majority ila toka ampate huyu mswahili ata ig page yake ni hovyoo kaz kusutana na vitoto tuu,nampa pole kupotea njia kwa kasi ya ajabu
 
Ynaa duh 😱 aliimba akiwa na pesa tayari. Na wengi walivutiwa kumjua zaidi kimaisha kwa anavyozisaka pesa zaidi ya kuimba kwake.
 
Last edited by a moderator:
Chibu anafaida mmama msupuu mahaba dizaini ya bombay......kuchkuch
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…