Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

Mtoto ni malaika, mtoto ni kiumbe ambae moyo wake mweupe kama barafu, mtoto hana chuki wala hana adui,
Lakini hii tabia ya kuzaa zaa bila ndoa hivi dini gani inaruhusu? Kuzaa watoto wa uzinzi haijakaa vizuri hata kidogo,
 
Hongera,lakini ajitahidi aoe so vizuri kuzaa nje ya ndoa

wangapi wapo ndoani na wanatafuta watoto usiku na mchana? ndoa ni maelewano tu zaidi ya hapo hamna kitu, kama mnaelewana hayo mengine yapo tu ebooo
 
Mtoto ni malaika, mtoto ni kiumbe ambae moyo wake mweupe kama barafu, mtoto hana chuki wala hana adui,
Lakini hii tabia ya kuzaa zaa bila ndoa hivi dini gani inaruhusu? Kuzaa watoto wa uzinzi haijakaa vizuri hata kidogo,

acha ujinga mkuu, kuna watu wamefunga ndoa miaka nenda rusi hawana watoto na hawana maelewano ndani
 
Mtoto ni malaika, mtoto ni kiumbe ambae moyo wake mweupe kama barafu, mtoto hana chuki wala hana adui,
Lakini hii tabia ya kuzaa zaa bila ndoa hivi dini gani inaruhusu? Kuzaa watoto wa uzinzi haijakaa vizuri hata kidogo,

Mtoto ni Malaika?
 
acha ujinga mkuu, kuna watu wamefunga ndoa miaka nenda rusi hawana watoto na hawana maelewano ndani

Ujinga ni nini? Kusema watu wazae watoto wakiwa kwenye ndoa zao au nini? Maelewano na watoto inahusiana nini?
 
Mtoto ni Malaika?

Unaelewa malaika ni nini? Malaika ni kiumbe kisichotenda dhambi, kusema mtoto malaika ndio atabaki kuwa malaika mpaka akili za utu uzima zitapomuingia, nini hujaelewa?
 
wangapi wapo ndoani na wanatafuta watoto usiku na mchana? ndoa ni maelewano tu zaidi ya hapo hamna kitu, kama mnaelewana hayo mengine yapo tu ebooo

Wewe itakuwa ni mmoja wa wazinzi ndio maana unatetea, kwani wangapi wamezalishwa nje ya ndoa na wanateseka pia?
 
Hii habari ya kweli? Nilisikia atajifungulia SA...

Si mmezoea magazeti ya udaku.. maana walishasema mtoto atazaliwa mcity itaonyesha live kiingilio m10 hahahaha

Habari za kusikia sioo
 
Wewe itakuwa ni mmoja wa wazinzi ndio maana unatetea, kwani wangapi wamezalishwa nje ya ndoa na wanateseka pia?

i cant judge any one kwa kweli, Mungu ndie anaehukumu, hiyo akili ya kumuita mtu mzinzi kisa amezaa nje ya ndoa, si sahihi, hebu badilika,kila mtu ana maisha yake na ana maamuzi ya maisha yake, by the way,sijawahi kuzaa nje ya ndoa yangu na pia siwezi kumuhukumu yule aliezaa nje/kabla ya kuolewa,kwa sababu maisha yake yapo mikononi mwake
 

Nimeuliza kuna dini inaruhusu hii kitu? Aliezaa nje ya ndoa mimi namuita Mzinzi kwa lugha ya kiswahili, Mzinzi ni tusi? Mzinzi ni jina Mzinzi ni kitendo? Hebu nipe jina wewe mtu aliezaa nje tumuiteje kwa matakwa yako?
 
Diamond ni Baba wa Kambo wa huyo mtoto
 
Kila atakayekuwa anajifungua mnatoa taarifa au kisa tu ni Zari na Diamond? Toa taarifa hata jirani yako akizalisha au kujifungua, braza.
 
Hatimaye staa wa bongo Nassibu Abdul (Diamond) awa baba baada ya mchumba wake Zari kujifungua mtoto wa kike asubuhi hii katika hospital ya AgaKhan.

Ngoja niwe wa kwanza kunpatia jina North, au west endelea
 
Congrats sana mingi mingi wazazi

Nakumbuka mzurimie katika kutetea maneno ya watu juu ya Diamond huyo sio mwanae aliwekaga mahesabu na makadirio ya tangu walipokutana na kuhesabia kuwa mtoto atazaliwa tarehe 8 August 2015 na imetimia alisema kuna +2 and -2 weeks kwa due dates za wamama. So ni siku 2 kweli mdada huyu ni shabiki wa kweliiiii, big up.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…