Ngoja niwe wa kwanza kunpatia jina North, au west endelea
Nimeuliza kuna dini inaruhusu hii kitu? Aliezaa nje ya ndoa mimi namuita Mzinzi kwa lugha ya kiswahili, Mzinzi ni tusi? Mzinzi ni jina Mzinzi ni kitendo? Hebu nipe jina wewe mtu aliezaa nje tumuiteje kwa matakwa yako?
Kila atakayekuwa anajifungua mnatoa taarifa au kisa tu ni Zari na Diamond? Toa taarifa hata jirani yako akizalisha au kujifungua, braza.
Diamond ni Baba wa Kambo wa huyo mtoto
Tenaa yashakuwa hayoo..ama kweli tiffah akianza kujielewa TZ hapatatosha,by the way,I wish you good in ur Betta and for worse friendship......Latifah...my best friend ever!
Not latifa ni tiffah
Baba was tiffah in ambae aliweka mbegu zake,so tutegemea kupwa na kujaa kwa mabilionea Bongo waliowekeza kwa Zari,kama movie ndo limeanza na hii ni kama episode nambari moko..?!baba mzazi ni........ waweza kutujuza inaonekana unamjua
Huyo kiumbe inasemekana katokea jukwaa la nafasi za kazi,ko hajui huku kinaendelea nini..kaingia cha kike .......!!?!does this means hujui upo jukwaa gani??
Kama nawaona table teaching..ivi huku tiffah akichukua kichwa cha habar*topic*,Itafahamika tuuu?!Wewe nae sijui wa wapi? Tiffah ni kifupi cha Latifah.Kama hujui kitu ni bora ukae kimya tu.
Baba was tiffah in ambae aliweka mbegu zake,so tutegemea kupwa na kujaa kwa mabilionea Bongo waliowekeza kwa Zari,kama movie ndo limeanza na hii ni kama episode nambari moko..?!
Tenaa yashakuwa hayoo..ama kweli tiffah akianza kujielewa TZ hapatatosha,by the way,I wish you good in ur Betta and for worse friendship......
Not latifa ni tiffah
ameeni..?!oukey twende taratibu kuna wewe na warumi nimemuona nae anasema diamond sio baba wa latifah, sasa embu niwaulize nyie hao mnaowaitaga baba nani aliyewaambia ndio waliotoa mbegu iliyotunga mimba zenu hata mkazaliwa??? Zaidi sana mliaminishwa tuu toka mkiwa wadogo kuwa huyu ndio baba yako, and kwa vile umekuwa ukimuona anakulea anakununulia mahitaji anakulipia ada ya shule ukikutana na wenzako unamtambulisha kuwa huyo ndio baba yako. Do u have any scientific prof kuwa sperm ya huyo umuitaye baba ndio iliyokutana na ovary ya mama yako ukatoka wewe??? Definitely hamna so please stop frustrating others simply kwa vile mmepewa midomo ya kunena na kusahau kuwa we are living in the same situation