Zari na familia yake wameshawasili Uganda pamoja na mwili wa Ivan

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
Zari na familia yake wamewasili alasiri ya leo nchini uganda pamoja na mwili wa Ivan,Tayari kwa mazishi siku ya jumanne


Rest In Peace Ivan
Monday 29 may
Funeral service at St Paul's Cathedral Namirembe,Uganda.

Zari kapewa nafasi ya kutoa speech kanisani.
Some photo credits: Miss Natafuta
 
Vp mondi nae keshawasili? maana UG wanamtamani kweli sijui hali itakuaje mbele ya ndg wa Ivan
 
Yupo Kenya,kesho au keshokutwa atawasili Uganda
Vp mondi nae keshawasili? maana UG wanamtamani kweli sijui hali itakuaje mbele ya ndg wa Ivan
 
Hamna mwenye majonzi hapo si Zari wala watoto wake ,nimeangalia video kwa makini nimegundua Zari anapigia hesabu mali alizoacha IVAN kilio chake hakitoki moyoni kabisa .
Hao watoto bado hawaelewi mkuu.. sana sana utawaonea tu

Lakini kuna jambo gumu sana mbele yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…