MichaelYuda
Member
- Oct 9, 2017
- 43
- 17
Du!! Watu mna maneno aisee, Yaani jamaa ni hatare sana. [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Kwa mwendo wa simba mtasikia keshapanda grade anakula rihanna
Hao siyo level yake, size yake ni hao akina mabeto.Simba hula matawi ya juu,ale rihana,Madonna,
i think rick rozay fell off some two years ago or so..he is not relevant anymore,just like neyodiamond platnumz x Rick Ross
mambo yamezidi kua matamu sana na sasa hivi wataota majipu sehem nyeti
Chuki tu za bure. io ingekua imepigwa na yule jamaa King KIBAMIA basi ingepewa KIKI na Mange Kimambi siku sitai think rick rozay fell off some two years ago or so..he is not relevant anymore,just like neyo
dah,mkuu umekosea sana..sipendagi bongo flevaChuki tu za bure. io ingekua imepigwa na yule jamaa King KIBAMIA basi ingepewa KIKI na Mange Kimambi siku sita
ila kisa Mond ndo kafanya ivo basi watu wanalamba malimao tuu. na zitatoka mimba za chuki mwaka huu