Zari rapper: Rapa mpya wa kike anayekuja kuishika bongo

Aisee namuona Diamond Platnumz on CCN hapa.Mjomba anakimbiza mbaya
 
Hahaaa nimeelewa sasa, manaake usipo angalia vizuri unaweza ukawaza labda hapa alikuwa anatumia madawa na hapa kabla hajaanza kutumia duuh, watu wanajua kufananisha.
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
inachekesha kwakweli
kifesi rapa duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…