Zari: Success is not sexually transmitted !

Bila Ivan ungekuwa huna kituuu hata mi Za G nazimiliki basi na boss lady
I don't think you know what you are talking about or even know Zari na Ivan together started from nothing. Watu mliomjulia Zari through Diamond ndio huwa mnafikiri Zari alimkuta Ivan na pesa. Ivan had nothing. Together they built everything. She was with him for 14 years, and you all think that she easily inherited the businesses? She was entitled to it because Ivan knew that Zari contributed so much to get to where they both were. Unfortunately, he was an abuser, domestic violence ndio iliyomshinda Zari, na Ivan regretted when it was too late. But he knew he was the reason ndoa yao ilivunjika ndio maana alikua anampenda Zari bado pamoja na kwamba alijaribu kudate akina Sharon lakini haikufaa.
People, get your facts right before spewing lies on someone you know nothing about.
 
There you are boss.... Thanks for this
 
Bora umesema wajue.tatizo wamemjua Zari alipoanza kudate na Diamond.
 
Binamu Warumi hebu tuletee ubuyu wa moto wa Hamisa kudundwa na Bi Sandra Madale leo hadi kiwigi kikadondoka kuleee.
 
Mjini patamu mpaka naiona asali chunguhaya mrs matajir kulikon kupokea kipigo toka kwa mkweo yaan na kujishaua kote kule hatimae kiwigi cha pink kimefuliwa kwenye matope mama_dangote ahsante dokta naona umeninyooshea mtu mlangoni ningeshangaa sana kama ungemuangalia mpaka anatokajumalokole2 shoga angu lakin huyu mbu alikuwa shoga ako na kibesen ulinunua kumpelekea mtoto sasa imekuwaje tena unafurahia mwenzako kupigwa mpaka wigi kutupiwa kwenye topesas nyie mnataka nani aolewe na domo maana kila mwanamke kwenu mbaya ama mnataka afe mjane bila kuoashoga angu tununu tafuta diary uandike hii ndo ujiaminishe kabisa madale hutakiwi muone na uso wake ulivyokuwa mrefu utafikir kamba ya netmwanamke usokuwa na haya wala kujielewa na shape yako kama sanamu la kulindia mpungahaya njoo sasa uwaambie watu kuwa mchana wa leo umepigwa na mama dangote madale huku domo anakuangalia ***** lione macho yake utafikir mbegu za ubuyu mxxxxxxxxiuwhuu ni ubuyu exclusive jaman yaan wa mchana huu hatunaga story za kutunga ndo sababu hatuangaiki na habar zao

Source instaaaa
 
Tena kapata kichapo mbele ya Chibude .Na kafukuzwa na Bi Sandra kama mbwa mwizi. Inaambiwa kalia kama hana kwao.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] aiseee natamani kuona picha au video ya tukio

Siku mbaya kwake huku lulu kakaba kwa majizo huku bi sandra kakaba madale
Tena kapata kichapo mbele ya Chibude .Na kafukuzwa na Bi Sandra kama mbwa mwizi. Inaambiwa kalia kama hana kwao.
 
Tena kapata kichapo mbele ya Chibude .Na kafukuzwa na Bi Sandra kama mbwa mwizi. Inaambiwa kalia kama hana kwao.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mjini patamu wallah vileee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] aiseee natamani kuona picha au video ya tukio

Siku mbaya kwake huku lulu kakaba kwa majizo huku bi sandra kakaba madale
Yani ndio ajifunze aache chuki zisizo na msingi
 
Heee?! Kumbe ndo maana Mwafulani hana furaha , Hata kule Mlimani city hakuwa na furaha kabisa misa jamani Kumbe yaliyojiri ndo hayo !
Shuntama imebuma [emoji3][emoji14]!
Safi bi Sandra timua Madanga yote hayo yasimvuruge mwanao akili Mmwee !
Dai anatakiwa kuona mwanamke simpoooo!
Amuoe Yule dem wake wa zamani zile akiwa tandale Kwa mtogole akiwa hana mbele wala nyuma , Demu wa vile ndo alimpenda toka Moyoni na siyo hawa maguberi wapiga mizinga ya atomic/nuclear bombs!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…