picha ndio kwa iko kwenye intro teh teh.
Wacha nichukue siti
Haaa! Zari kawekwa hadi dp wassap ..na boonge la status ,mnashangaa comment
Nikabie siti ndg manake stak kuadithiwa tena
shkamoo pesa mtoto wa tandale kajibebea jimama la maana
usijali, we nenda siti utaikuta mkuu
Screen sht ya wasap plz
Afanyaje sasa pesa bana inaleta jeuri si masihara
Haaa! Zari kawekwa hadi dp wassap ..na boonge la status ,mnashangaa comment
Wewe mtu ni nomaa ndio nimechungulia sasa hivi, dai anakula kiukweli duuu
Na tuwache project iendelee!!
hahahaa mahaba niuwe haya fanya ku screen shot utuwekee hapa Basi
sijui kuweka picha hapa ningeshaweka siku nyingi
mmmmmmmmmmmmmmmmmm,mkono na shavu langu......
marhaba pesa acha tu pesa ndo mambo yote safari hii kajua kuchagua nampa big up ila atulie Basi
Anavopenda kusuuza rungu huyo hatulii huyo