Zari utagombana nawangapi

Sikupii Kiki, ulitaka nijadili kimembe chamamaako. Give me a break guy. I'm free to do what I want. Uso kama kinyensi cha Aldhuhuri, usinizowee napua yako pana kama bukuta ya Lemutuziiiii
Wewe ni kinyaa tupu na unaishi katika lana!!
 
Hahhaaa diamond sasa kaishiwa , hivi msanii wa kimataifa ndo wa kutafuta kiki, kupitia ex girlfriend wake ?? Nina waswas, ila zari naye Ana moyo aisee
team kibakuli hamuwezi penda hii movement maana mnajua wema n mond wakishakuwa krbu kibakuli ndo kaisha
 
Ila zarina ana moyo aisee daaah au wameambizana kua baby leo ntaweka picha ya wema natafuta kiki tu usjal nakupenda wewe tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]
 
Hahhaaa diamond sasa kaishiwa , hivi msanii wa kimataifa ndo wa kutafuta kiki, kupitia ex girlfriend wake ?? Nina waswas, ila zari naye Ana moyo aisee
Naungana nawe kabisa. Kama msanii wa kimataifa as he claims unaona the best way ya kuendelea kua maaruf ni kwa kutafuta kiki kupitia x g's...na zari anakubalije aise
 
Jamaa anapenda kik sasa hivi kashaanza kumpost wema siku si nyingi italetwa habari hapa nae kasahau bikin kama mwenzake!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeonaeee yaani hii Salome imekuja na kiki za mwendokasi
 
Reactions: ovi
team kibakuli hamuwezi penda hii movement maana mnajua wema n mond wakishakuwa krbu kibakuli ndo kaisha
Hahahaaa basi ungejua Kati ya couple naipendaga kwa mastaa ni diamond na wema maana wanawezana ila alichokifanya diamond ni dhahir kabisa ni kiki,
 
Mtoto wa kiume kushoboka na ishu za istagram ni niinii!???
 
Ila zarina ana moyo aisee daaah au wameambizana kua baby leo ntaweka picha ya wema natafuta kiki tu usjal nakupenda wewe tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji6]
Kiki kwa msanii wa kimataifa?? Ngastuka!!
 
Naungana nawe kabisa. Kama msanii wa kimataifa as he claims unaona the best way ya kuendelea kua maaruf ni kwa kutafuta kiki kupitia x g's...na zari anakubalije aise
Huyu ndo wanamueka level za kina star boy et[emoji23] [emoji23] [emoji23] asee
 
Yaani kuna watu wana chuki za kijinga hadi wanatia huruma!! Diamond since then amekuwa aki-post clips za wanaoimba singles!! Kwahiyo wengine woooooooooooooooooooooote kuzi-post ni sawa lakini ku-post ya Wema ndo imekua kutafuta kick?! Yaani international artist atafute kick kwa local artist... dunia ina viroja hii!!!
 
Lakini ka ukijua wema tu ndo anaweza kuka na Mondi. Sijawahi sikia amepost cjui kakuta bikini au brazia, unafikir hakukuta sema tu yeye anajelewa.
Acha utani basi msifie tu ila hapo kwenye kujielewa umeharibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…