Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,796
- 2,367
Na ukiangalia wote wanaomdiss ni wivu tu wala hakuna kingine, mara ohh boss fake. Jamani ht km anafake life napo apongezwe tu. Ni nani anaeweze ku maintain hiyo status ya kufake kwa kipindi chote?ndio hata kama Maisha yake sasa sio mazuri kama zamani,still ameshawahi kuenjoy Maisha..probably me and you hatutakaa tuyapate in our lifetime..lol
[emoji123][emoji106][emoji108]Na ukiangalia wote wanaomdiss ni wivu tu wala hakuna kingine, mara ohh boss fake. Jamani ht km anafake life napo apongezwe tu. Ni nani anaeweze ku maintain hiyo status ya kufake kwa kipindi chote?
Km ni rahisi, mbona wao hawafake?
Tena wa kukaa nae mbali kbsMimi sihangalii sio umaarufu naangalia tabia zako kwanza mana nimeridhika na hali yangu, wanaume mzalilishaji ni wakumkimbia hata kama ni maarufu
Mimi sihangalii sio umaarufu naangalia tabia zako kwanza mana nimeridhika na hali yangu, wanaume mzalilishaji ni wakumkimbia hata kama ni maarufu
Nyumba ya Madale, Zari ndiyo aliimalizia kuwa ilivyo hadi leo. Dee wivu tu umemjaa baada ya kuona Kingbae yupo kuoa kabisa.
Nipe baba/ babu yako, atakupa majibuUsikute na ww ushamegwa na under 18
Ivan the don alikuheshimu sana,hakuwahi kukuanika kwa lolote!Mwisho wa siku ukamuonesha kuwa umemove on na kujooiianika mitandaoni na Diamond ukijua umelamba dume,kumbe umeruka mkojo na kukanyaga mavi!!!Ona sasa unavyorukwa akili na kutoa matusi bila kujali wanao wameshakuwa na wanakiona unachofanya,unafika mbali mpaka kusema kuwa Ivan amekuachia nyumba so hubabaiki!!!
Kiaina kama unammiss Ivan na kujutia kumuacha baba wa watoto wako aliyekuheshimu na kuingia chaka!
Pole sana ila majuto ni mjukuu!
I wish Ivan angekuwa hai leo,ungeenda kwake unatambaa kwa magoti kwa ulivyomkosea!!!!
Acheni story za mtaani kua alimalizia nyumba wakti domo ndio alikua anapata show za kutosha atashindwaje kumalizia nyumba ile,zari alikua anadanga tu kwa muzamili
Ha ha haaaa
Mbona tuliyaona akifanya hivyo.. unafikiri watu tuna muda wa kutunga yasiyo yetu.. habari ndio hiyo.. hata juzi kwa video clips Zari kaisema.. mwambie basi abishe. Eti show.. jamani tumsalie jana domo kapiga show hakupata watu zaidi ya kidunchu hadi kagawa ticket bure.. na wa SK waingie.. kuna wadau walirusha instalive kaangalie kabla haijaishia. Mwambieni amuombe msamaha Zari kwa kumshambulia uongo kutaka kumchafua.
Mzamili unapenda kumtaja kama vile wewe wako hakuguswa na wengine.. haina nguvu hiyo ni blah blah blah unatema. Andika kingine..
team zari @ workHa ha haaaa
Mbona tuliyaona akifanya hivyo.. unafikiri watu tuna muda wa kutunga yasiyo yetu.. habari ndio hiyo.. hata juzi kwa video clips Zari kaisema.. mwambie basi abishe. Eti show.. jamani tumsalie jana domo kapiga show hakupata watu zaidi ya kidunchu hadi kagawa ticket bure.. na wa SK waingie.. kuna wadau walirusha instalive kaangalie kabla haijaishia. Mwambieni amuombe msamaha Zari kwa kumshambulia uongo kutaka kumchafua.
Mzamili unapenda kumtaja kama vile wewe wako hakuguswa na wengine.. haina nguvu hiyo ni blah blah blah unatema. Andika kingine..
Ndio ujue watu wanamtamani kiasi gani mzee.Maisha ya mitandaoni noma sana.... Tunatumia muda mwingi kumdiss ambaye ameshatoboa kimaisha na kupitia karibia hatua zote muhimu kimaisha kuanzia pesa, mahusiano, ndoa, familia umaarufu nknk
Oyoo Tigershark ulishazingatia ushauri niliokupa wa kufanya kazi na kuacha porojo jamvini?Ivan the don alikuheshimu sana,hakuwahi kukuanika kwa lolote!Mwisho wa siku ukamuonesha kuwa umemove on na kujooiianika mitandaoni na Diamond ukijua umelamba dume,kumbe umeruka mkojo na kukanyaga mavi!!!Ona sasa unavyorukwa akili na kutoa matusi bila kujali wanao wameshakuwa na wanakiona unachofanya,unafika mbali mpaka kusema kuwa Ivan amekuachia nyumba so hubabaiki!!!
Kiaina kama unammiss Ivan na kujutia kumuacha baba wa watoto wako aliyekuheshimu na kuingia chaka!
Pole sana ila majuto ni mjukuu!
I wish Ivan angekuwa hai leo,ungeenda kwake unatambaa kwa magoti kwa ulivyomkosea!!!!
Hata sikukumbuki,nina mambo mengi na muda ni mchache!Oyoo Tigershark ulishazingatia ushauri niliokupa wa kufanya kazi na kuacha porojo jamvini?
Mambo gani mengi wakati muda wote unasterehesha baraza na kupiga porojo.Hata sikukumbuki,nina mambo mengi na muda ni mchache!
Wanawake wengi mnachoongea ni kinyume, nimeshashikia wanawake wengi wakiongea kama wewe lakin mwisho was Siku imekua ni kinyume chakeMimi sihangalii sio umaarufu naangalia tabia zako kwanza mana nimeridhika na hali yangu, wanaume mzalilishaji ni wakumkimbia hata kama ni maarufu
Ulichoongea ni ukweli 100% wanaume maturity wengi ni wakawaida, alafu bidada anashindwa kuelewa anayoyafanya diamond Kwa sababu ya nguvu ya fedha,Theoretical sawa ila practical wengi wenu hamfanyi hivyo,mimi wanawake nawajua vizuri sana,mbele ya hela hampindui.
Hivi ushajiuliza kwa nini single mother wamekuwa wengi ? na ukifuatilia single mother wengi kuna mtu wa maana alikuwa naye mwenye high level of maturity,but economical yupo kawaida,lakini kakimbilia kwa mwenye hela,ambaye hajali hisia za mwanamke.