Anayo hushangai alimkuta wema yupo juu kwenye gemu la filamu kuwa naye tu Wema akashuka mpaka naleo haja panda
Umeongea ukweli kabis aNa Hutu Dai hunyonya nyota za wanawake na wema alibug alivorudiana naye ndo sasa hivi kwisha kabisa, Zari akitaka apotee kabisa arudiane na huyo mtandale, Zari before dating Diamond alikuwa classy women alivoanza mudate sijui alimloga vile vtuko alivokuwa anazalilishwa hadharani in the name of love Mara love bite ka binti aliyevunja ungo damu inachemka. Na Dai naye kashuka anamkumbuka Zari mana alipokuwa na Zari heshima yake iliongezeka Mara dufu
Jide alikuwa na hasira za kuchitiwa ndo mana wapenzi mkiachana bora kupiga kimya kuliko kusemana hovyo ni utoto. Hafu hamna mwanaume wa hovyo kama Dai ana utandale na uswahili nilishangaa Zari kumpa k yake mwanaume asiye heshimu wanawake
Ila sasa ana regret woi bora angebaki na tiffah tu sasa bwana mwenyewe mtandale, wanaume huwa hawajali wala kuumia kisa mtoto hasa wabongo aiseeAlikua na target zake kwa chibu ndio mana akazaa fastafasta
Sent from my SM-G7102 using JamiiForums mobile app