Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
mondi kula mzigo huoo
birthday birthday afu dogiemasta bwana hana ht haya hv siku zary na wema wakikutana wakaelewana atajiskiaje ataendelea kutukana vile au ataanza msifia zary?
maana kipindi cha peny kmatukana dada wa watu weee!!
peny kimyaa!!wameelewana akaanza kujishaua kumfagilia peny
kajala nae hvyo hvyo
SIJAWAHI ONA MNAFIKI KM DOGIE MASTA,SHANGAZIWAMATIKIBOKOYAO,MATIKIBOKOYAO NA TEAM WEMA WOTE
Maana wema anajua kuwaumbua vbaya akirudiana na daimond matusi yanaisha na kuanza kumsifia dai
swali hv mnamchagulia daimond mwanamke?
kwani wema ni nani asiachwe na daimond?
mmesahau kampeni ya bringback ur wema ?
mlitaka ambrought vp may be?
kawarudishia mnamtukana
jamani mi sio shabiki wa dai but for this namuunga mkono sana
tunajua mna stress team wema maana zari ht km ana 60yule dada mkareeeeee huo ndo ukweli
na AMEWAKALISHA TEAM MAVIMAVI WOTE
expectations zenu zimeprove faire maana mlishajipanga mumtukane meninah mkajua ataenda kwa binti atick but mambo yamekua VICE VERSA kavuka boda
Na mlijua VAN VICKER atafanya kweli kwa wema dah poleni sana van anaigiza na warembi wema nnya tu kaigiza kasepa au km alihit amerun mi sijui
hamna kurushana roho tena hao!!
poleni sana mnaweweseka sana wanafki nyieee
shogaa sikiliza, huyo dougiemasta hafanyi yote haya burebure tuuu, its out of payments, unaelewa, si unakumbuka bornday yake alizawadiwa SUBARU?? yani kwa kifupi ni kama wale watu wanaofanya assassinations for money, huwa hawaogopi dhambi wala nini, so dougie ameajiriwa officially kumstress mondi na zari tuuu, ndio maana unaona anatumia nguvu nyingi kiasi hiki yupo kazini mwenzako.for this job anakula anavaa anakunywa kodi analipa na gari kapewa. upoo???