Zawadi gani zitamfaa?

Zawadi gani zitamfaa?

HERUFI KUBWA

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2017
Posts
388
Reaction score
602
Habari wakuu,

Leo ni happybirth day ya mpenzi wangu, sasa hapa najiuliza nimnunulie zawadi ipi kati ya hizi?

1.Pipi

2.Choclate

3.Ndizi

4.Andazi

5.Apple

Hivi zawadi gani atafurahi sana nikimnunulia?
 
Mkuu hakuna zawadi nzuri kwa mwanamke kama pesa.Wewe nunua bahasha tamuu ya maua ile.Mwekee kapesa kiasi uone atakavyokenua meno kesho yake
 
Duh hujaweka pesa hapo hamna zawadi nzr hapo
 
Back
Top Bottom