Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingine nashindwa kuandika lakini pamoja na hayo yote na mshukuru mungu kwa kuipigania ndoa yangu nilijuwa watu wameanza kuichakachua...ukipata zawadi wewe unaetrajia kufungandoa karibuni usifungue mpaka muziombee yaani unaweza ona vioja lakini act zinafwata baadae kwenye ndoa yako kama mlipendana unashangaa huna hamu nae tena just singleday......mungu akuepushie haya in jesus name
wewe ni hayo yaliokutokea na watu wako hao, yaani muda wa kufungua zawadi hadharani unapatikana wapi?..Pdidy bwana khaa.
Nyamayao upo...ndio maana sikuhizi wameanzisha unaacha zawadi mlangoni pale mlangoni kuna watu wanakuwa na viwembe na mikasi we unaweza hisi manesi kazi yao ni hiyo ukiondoka wanafungua pembeni wakikuta vimechakachuliwa wanaweza kukuuliza ama wakakustahi ukashangaa kamera ya harusi iko kwako muda wote kumbe baadae bwana na bi harusi wanaambiwa kinachoendelea wanatafuta mchawi...wale wanaolazimisha mizgo nje sio wajinga mpwa wana akili..m nilijibebea si unajua yale zawadi za mashangazi wajomba ,wafanyakazi we unacheka tu kumbe mamba wapo humo ndani...kwa sytle hyo uwezi kufngua lakini ukiona wanaacha zawadi nje na wewe umeleta misukule yako kwenye box ndugu usiitoe aibu wanaifungua 3min kabla ujapata kiti cha kukaa na wanajua ni wewe umeleta zile chupi mbichi..mie nilikutana na khanga zimetumika mbichiiii na ubichi wake...lakini mungu ni mwema wa yote ukimtanguliza
mkuu p,didy leo umeongea kaka,mi tulishinda na mke wangu tunafungua mabox matupu,na zawadi zilizovunjika na zingine hazifanyi kazi siku nzima.aibu niliyopata siku hiyo,najuta kuwa na ndugu waswazi.:hand:Vingine nashindwa kuandika lakini pamoja na hayo yote na mshukuru mungu kwa kuipigania ndoa yangu nilijuwa watu wameanza kuichakachua...ukipata zawadi wewe unaetrajia kufungandoa karibuni usifungue mpaka muziombee yaani unaweza ona vioja lakini act zinafwata baadae kwenye ndoa yako kama mlipendana unashangaa huna hamu nae tena just singleday......mungu akuepushie haya in jesus name
hahahahaha vichekeshoSiku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
mtu B u made my day nimecheka mpaka machozi huko unakoishi hama mara moja watakuchakachua roho hao raiaSiku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!