Zawadi kama hizi muhimu kufungua kwenye harusi kuondoa aibu

Zawadi kama hizi muhimu kufungua kwenye harusi kuondoa aibu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kamati+ya+maandalizi+ikiwa+na+zawadi.jpg
 
Mi yalinikuta nilikutana na box la oven linalofwata nkafungua naona vipande vya nazi,vimabanana kila kona ya box so vyema mkafungua msikubali kubeba mabox kama haya kwenda nayo nyumban utabeba khanga mbichi zilizosokotwa...dunia imebadilika..sisemi hilo box jamani hiyo ni sample tu ya zawadi za kuhakiikiwa kabla ya kwenda nayo kwako
 
Vingine nashindwa kuandika lakini pamoja na hayo yote na mshukuru mungu kwa kuipigania ndoa yangu nilijuwa watu wameanza kuichakachua...ukipata zawadi wewe unaetrajia kufungandoa karibuni usifungue mpaka muziombee yaani unaweza ona vioja lakini act zinafwata baadae kwenye ndoa yako kama mlipendana unashangaa huna hamu nae tena just singleday......mungu akuepushie haya in jesus name
 
mi on myform six graduu nlifungiwa box kuuuubwa kufungua ndani kuna pakti 1 ya biskuti na magazeti kama kilo kumi
 
wewe ni hayo yaliokutokea na watu wako hao, yaani muda wa kufungua zawadi hadharani unapatikana wapi?..Pdidy bwana khaa.
 
Vingine nashindwa kuandika lakini pamoja na hayo yote na mshukuru mungu kwa kuipigania ndoa yangu nilijuwa watu wameanza kuichakachua...ukipata zawadi wewe unaetrajia kufungandoa karibuni usifungue mpaka muziombee yaani unaweza ona vioja lakini act zinafwata baadae kwenye ndoa yako kama mlipendana unashangaa huna hamu nae tena just singleday......mungu akuepushie haya in jesus name

kaka kama hujali, una muda gani kwenye ndoa?
 
wewe ni hayo yaliokutokea na watu wako hao, yaani muda wa kufungua zawadi hadharani unapatikana wapi?..Pdidy bwana khaa.

Nyamayao upo...ndio maana sikuhizi wameanzisha unaacha zawadi mlangoni pale mlangoni kuna watu wanakuwa na viwembe na mikasi we unaweza hisi manesi kazi yao ni hiyo ukiondoka wanafungua pembeni wakikuta vimechakachuliwa wanaweza kukuuliza ama wakakustahi ukashangaa kamera ya harusi iko kwako muda wote kumbe baadae bwana na bi harusi wanaambiwa kinachoendelea wanatafuta mchawi...wale wanaolazimisha mizgo nje sio wajinga mpwa wana akili..m nilijibebea si unajua yale zawadi za mashangazi wajomba ,wafanyakazi we unacheka tu kumbe mamba wapo humo ndani...kwa sytle hyo uwezi kufngua lakini ukiona wanaacha zawadi nje na wewe umeleta misukule yako kwenye box ndugu usiitoe aibu wanaifungua 3min kabla ujapata kiti cha kukaa na wanajua ni wewe umeleta zile chupi mbichi..mie nilikutana na khanga zimetumika mbichiiii na ubichi wake...lakini mungu ni mwema wa yote ukimtanguliza
 
Nyamayao upo...ndio maana sikuhizi wameanzisha unaacha zawadi mlangoni pale mlangoni kuna watu wanakuwa na viwembe na mikasi we unaweza hisi manesi kazi yao ni hiyo ukiondoka wanafungua pembeni wakikuta vimechakachuliwa wanaweza kukuuliza ama wakakustahi ukashangaa kamera ya harusi iko kwako muda wote kumbe baadae bwana na bi harusi wanaambiwa kinachoendelea wanatafuta mchawi...wale wanaolazimisha mizgo nje sio wajinga mpwa wana akili..m nilijibebea si unajua yale zawadi za mashangazi wajomba ,wafanyakazi we unacheka tu kumbe mamba wapo humo ndani...kwa sytle hyo uwezi kufngua lakini ukiona wanaacha zawadi nje na wewe umeleta misukule yako kwenye box ndugu usiitoe aibu wanaifungua 3min kabla ujapata kiti cha kukaa na wanajua ni wewe umeleta zile chupi mbichi..mie nilikutana na khanga zimetumika mbichiiii na ubichi wake...lakini mungu ni mwema wa yote ukimtanguliza

mmh.
 
Vingine nashindwa kuandika lakini pamoja na hayo yote na mshukuru mungu kwa kuipigania ndoa yangu nilijuwa watu wameanza kuichakachua...ukipata zawadi wewe unaetrajia kufungandoa karibuni usifungue mpaka muziombee yaani unaweza ona vioja lakini act zinafwata baadae kwenye ndoa yako kama mlipendana unashangaa huna hamu nae tena just singleday......mungu akuepushie haya in jesus name
mkuu p,didy leo umeongea kaka,mi tulishinda na mke wangu tunafungua mabox matupu,na zawadi zilizovunjika na zingine hazifanyi kazi siku nzima.aibu niliyopata siku hiyo,najuta kuwa na ndugu waswazi.:hand:
 
Kuna jamaa zangu waliandika kwenye kadi hawahitaji zawadi kwenye harusi yao. Walisemwa sana kuwa wanadharau, ila walijua ambacho kingetokea maana mpaka wanaoana, sarakasi walizoziona wanazijua wenyewe
 
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
 
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
hahahahaha vichekesho
 
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
mtu B u made my day nimecheka mpaka machozi huko unakoishi hama mara moja watakuchakachua roho hao raia
 


kweli mambo ya zawadi za harusi kuna vituko vingi!kuna harusi moja hiyo bwana harusi na mkewe wakati wanafunguan zawadi kwenye boksi lililofungwa vizuri tu walikuta kuna kondom zilizotumika!walitamani kulia, lakini walikuja baadae kutambua kuwa ni visa vya baadhi ya marafiki wa kike wa zamani wa bwana harusi!
 
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!

Mtu B, Umeniacha hoi nilikuwa na hasira leo tangu asubuhi nikaingia hapa nimecheka mpaka basi you made my day.
 
Dawa ni kuweka mambo hadharani ndio maana majuzi nilikuwa lugalo kwenye harusi kabla ya kuingia kuna watu wanaomba nje ufungue zawadi yako unaiacha pale..kulinda heshima yao na maharusi wakiogopa wanawezasakiziwa wameziachakachua zawadi kumbe walioleta hakika nilicheka maana nilikuwa na kitabu kizuri cha wanandoa nikawambia hii kitu muifanye harusi zote kimoyomoyo nakumbuka yalionikuta loh ndoa..
 
Du hii kiboko..........Mkuu unaishi na watu wa aina gani??
Siku nimelamba ka-BSc kangu pale mlimani ndugu zangu walijipinda wakanifanyia graduu. Watu kibao majirani nk wakajimwaga na mizawadi. Kesho yake nilipozifungua, nyingine kweli nilikuta zawadi nzuri tu, saa za ukutani, vitabu, mashati mapya nk. Lakini kuna nyingine hakyanani utadhani wametumwa na dr manyaunyau! Yuko aliyenifungashia shati chafu nadhani alikuwa amelivaa wakati analima au anachimba shimo! Nyingine nilikuta vipande vya sabuni za kuogea zilizotumika vimefungwa kwenye magazeti makuukuu! Box lingine lililokuwa kubwa tena limenakshiwa, nilikuta vipande vya magodoro kama vile wanavyojaza kwenye mto wa kulalia, na kandambili chafu zilizotumika hadi kutoboka sehemu ya kisigino. Uswazi kuna mambo jamani asikwambie mtu!
 
we acha tu kazi ya uswazi kuletewa glasi kibao ambazo hazina sura!!!! mwengine akafungia registry ya baby shower yake wacha watu wamseme...ati how cna u dictate what u want as gifts...yaani safari ndefu! mie niliwaambia anayetaka kuleta zawadi alete bahasha ya hard cash...sitaki vikombe na glasi!!
 
Back
Top Bottom