fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
*_Nimekaa nimewaza sana kuhusu mwanaume aliyejiua kisa Mwanamke aliyemfungulia duka na saloon nikajifunza mambo yafuatayo...._*
zawadi anayoweza kupewa mwanamke na asikuache ni mimba pekee na wala sio fedha na mali. Sasa kuna wengine wanajifanya kuwalipia ada..acha kuingilia majukum ya watu, hiyo ni kazi ya babaake.
Wanaume jifunzeni hatutaki tena mtu afe kizembe
zawadi anayoweza kupewa mwanamke na asikuache ni mimba pekee na wala sio fedha na mali. Sasa kuna wengine wanajifanya kuwalipia ada..acha kuingilia majukum ya watu, hiyo ni kazi ya babaake.
Wanaume jifunzeni hatutaki tena mtu afe kizembe