Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Salamu sana wana cc wote;
Salamu sana wageni wote mtakaosoma huu uzi.
Leo nimekuwa natafakari sana kuhusu zawadi;
Nikajikuta najiuliza .......... hivi ni zawadi gani ya thamani kubwa ambayo
nimewahi kumpa mtu ..............
Kipekee nimekumbuka kuwa niliwahi kuwapa rafiki wawili wa karibu zawadi;
Ni zawadi ya thamani kubwa, sijui kama wao waliichukuliaje.
Hata mimi nimewahi pia kupewa zawadi kadhaa wa kadhaa, nyingi nazikumbuka mpaka leo;
Je, wewe mwana jf umewahi kumpa au kupewa zawadi na rafiki, ndugu, mzazi au mtu unayemfahamu.
Na hiyo zawadi umeichukuliaje?
Naamini kuwa lugha hii itaeleweka, nichukulie tu kama nisiyekijua kiswahili vizuri.
Salamu sana wageni wote mtakaosoma huu uzi.
Leo nimekuwa natafakari sana kuhusu zawadi;
Nikajikuta najiuliza .......... hivi ni zawadi gani ya thamani kubwa ambayo
nimewahi kumpa mtu ..............
Kipekee nimekumbuka kuwa niliwahi kuwapa rafiki wawili wa karibu zawadi;
Ni zawadi ya thamani kubwa, sijui kama wao waliichukuliaje.
Hata mimi nimewahi pia kupewa zawadi kadhaa wa kadhaa, nyingi nazikumbuka mpaka leo;
Je, wewe mwana jf umewahi kumpa au kupewa zawadi na rafiki, ndugu, mzazi au mtu unayemfahamu.
Na hiyo zawadi umeichukuliaje?
Naamini kuwa lugha hii itaeleweka, nichukulie tu kama nisiyekijua kiswahili vizuri.