Zawadi ya Nobel na Mo Ibrahim zanukia kwa Rais Uhuru Kenyatta

Zawadi ya Nobel na Mo Ibrahim zanukia kwa Rais Uhuru Kenyatta

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Africa imejaa madikteta wasiojali nini kitatokea kwa raia wao hata kama nchi zao zitawekewa vikwazo au hata kama wananchi wakiuana wenyewe kwa wenyewe au hata hali ya maisha yao kiuchumi ikiwa mbaya sana kwao haiwahusu. Mpaka sasa Uhuru ameonyesha kuwa yeye sio miongoni mwa marais hao.

Mfano, kitendo cha Raila kujiapisha mwenyewe kuwa Rais Wa wananchi ingetosha kupigwa risasi 42 na kufa kama Raila angekuwa raia wa baadhi ya nchi fulani ninazozijua mimi.kwa.

Ona Kenyatta alivyosimama pamoja tena na Raila kuahidi kushirikiana kwa maslahi ya Kenya na wakenya jambo ambalo ni nadra kuliona kwa marais wengine Africa. Kitu kama hicho kilishindikana kwa Zimbabwe, Sudani Kusini, Somalia, Uganda na mataifa mengine ambao tawala zao hazishauliwi na yeyote yule under the moon.

Nitaishangaa dunia kama kiongozi kama huyu wa Africa ambae alikubali hata uchaguzi ufutwe na mahakama ishindwe kumtambua.
 
Umeme umekukatikia bro?Pole.Hebu fanya namna umalizie stori yako niliyoanza kuipenda
 
Why would he receive the award. Hao wamekaa pamoja wakule sio haswa kuunganisha wakenya. Hio ikiwa itakua tu byproduct
 
Hahahaa...mmesahau maneno yake dhidi ya mahakama au majuzi alivyofunga vyombo vya habari visirushe matangazo kwenye runinga. Nakumbusha tu.
 
Why would he receive the award. Hao wamekaa pamoja wakule sio haswa kuunganisha wakenya. Hio ikiwa itakua tu byproduct
Hata kula bila kulamba damu za watu wako is something. Wako wanaokula na kuchuruzisha damu za RAIA wao pia.
 
Hahahaa...mmesahau maneno yake dhidi ya mahakama au majuzi alivyofunga vyombo vya habari visirushe matangazo kwenye runinga. Nakumbusha tu.
Kama kufunga TV kungesaidia kuepusha mabaya kwa watu wengi what is wrong abt it?
 
Anastahili, ni mwanasiasa mkomavu kuliko huyo wenu
 
Back
Top Bottom