Zawadi yangu kwa watumiaji wa JF

Zawadi yangu kwa watumiaji wa JF

Pape

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2008
Posts
5,487
Reaction score
83


26025136356364421010851.jpg





 
Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!!
 
Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!!
Kazi ipo mwaka huu!
 
Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!!

mmmh....ulikuwa unaongea na Pape?
 
hiyo picha ya kwanza ni kuwatafuta tu wenzio uchokozi,sio vizuri!
 
mh!!jamani izi zawadi zinanitia uchungu mwingi,sasa sijui ni zawadi gani hizi zinazomfanya mtu awaze sana????????????
 
Duh! ngoja nikapige nguna na Mnyama sasa hivi,
umenikumbusha nahitaji kula.
 
kwa picha ya kwanza watu wa kilmanjaro tunashukuru sana japo kinywaji hujaweka lakini usihofu tutakuunga mkoo kwa vinywaji vichungu
 
Back
Top Bottom