Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Mar 27, 2010 #2 nywiiii
Mkorintho JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 594 Reaction score 1,141 Mar 27, 2010 #3 Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!!
Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!!
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Mar 27, 2010 Thread starter #4 Mkorintho said: Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!! Click to expand... Kazi ipo mwaka huu!
Mkorintho said: Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!! Click to expand... Kazi ipo mwaka huu!
Masika JF-Expert Member Joined Sep 18, 2009 Posts 723 Reaction score 30 Mar 27, 2010 #5 Tinashukuru asande
JM Aristotle Senior Member Joined Mar 9, 2010 Posts 163 Reaction score 4 Mar 27, 2010 #6 Good present! lol
Preta JF-Expert Member Joined Nov 28, 2009 Posts 24,320 Reaction score 18,852 Mar 27, 2010 #7 Mkorintho said: Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!! Click to expand... mmmh....ulikuwa unaongea na Pape?
Mkorintho said: Yaani hiyo kuwazia rent, taxes etc. na kuvichukia ni viashiria tosha kwamba ndio ushakua hivyo. Ha ha ha, me usafiri wako tu, teh!! Click to expand... mmmh....ulikuwa unaongea na Pape?
Q queenkami JF-Expert Member Joined Feb 8, 2010 Posts 1,694 Reaction score 1,249 Mar 27, 2010 #8 hiyo picha ya kwanza ni kuwatafuta tu wenzio uchokozi,sio vizuri!
Maria Roza JF-Expert Member Joined Apr 1, 2009 Posts 6,803 Reaction score 1,601 Mar 27, 2010 #9 Shukrani Pape
mtuwatu Member Joined Oct 21, 2009 Posts 95 Reaction score 2 Mar 27, 2010 #10 Athante,shukrani zangu za dhati!!
Renegade JF-Expert Member Joined Mar 18, 2009 Posts 7,221 Reaction score 6,940 Mar 27, 2010 #11 Mh. Heri mimi sisemi.
S sijafulia Member Joined Mar 26, 2010 Posts 86 Reaction score 2 Mar 27, 2010 #12 We noma unaitaji kuwa mshauri wa rais
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Mar 28, 2010 Thread starter #13 sijafulia said: We noma unaitaji kuwa mshauri wa rais Click to expand... Not at all.... Preta said: mmmh....ulikuwa unaongea na Pape? Click to expand... hehehehe!
sijafulia said: We noma unaitaji kuwa mshauri wa rais Click to expand... Not at all.... Preta said: mmmh....ulikuwa unaongea na Pape? Click to expand... hehehehe!
Mpita Njia JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 6,997 Reaction score 1,172 Mar 28, 2010 #14 Zawadi yako nimeikataa
Aza JF-Expert Member Joined Feb 23, 2010 Posts 1,700 Reaction score 230 Mar 28, 2010 #15 mh!!jamani izi zawadi zinanitia uchungu mwingi,sasa sijui ni zawadi gani hizi zinazomfanya mtu awaze sana????????????
mh!!jamani izi zawadi zinanitia uchungu mwingi,sasa sijui ni zawadi gani hizi zinazomfanya mtu awaze sana????????????
Dreamliner JF-Expert Member Joined Jan 17, 2010 Posts 2,034 Reaction score 214 Mar 28, 2010 #16 kodi.
Emanuel Makofia JF-Expert Member Joined Jan 5, 2010 Posts 3,832 Reaction score 635 Mar 29, 2010 #17 thanx thanx again thanx
Bigirita Platinum Member Joined Feb 12, 2007 Posts 16,039 Reaction score 7,465 Mar 29, 2010 #18 Duh! ngoja nikapige nguna na Mnyama sasa hivi, umenikumbusha nahitaji kula.
Pape JF-Expert Member Joined Dec 11, 2008 Posts 5,487 Reaction score 83 Mar 29, 2010 Thread starter #19 Mpita Njia said: Zawadi yako nimeikataa Click to expand... Thanks!
W wakumbuli Senior Member Joined Aug 20, 2009 Posts 147 Reaction score 5 Mar 30, 2010 #20 kwa picha ya kwanza watu wa kilmanjaro tunashukuru sana japo kinywaji hujaweka lakini usihofu tutakuunga mkoo kwa vinywaji vichungu
kwa picha ya kwanza watu wa kilmanjaro tunashukuru sana japo kinywaji hujaweka lakini usihofu tutakuunga mkoo kwa vinywaji vichungu