Zawadi yangu kwenu katika kuazimisha siku ya wanawake

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
Habari mabibi na mabwana,

Mimi Avatar mok katika kuazimisha siku pendwa ya akina mama ama dada zetu. Napenda kutoa vocha ya buku mbili kwa wadada wa 5 kila mmoja kama shukrani kutambua uwepo wenu.

Sasa sijajua utaratibu uweje ili wadada watano wapate vocha chap chap.
Nimefikiria wadada wa tano wa kwanza kuchangia hapa. Lakini kama kunawazo lingine na wengine wanaopenda kuongezeka.

Karibuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…