Zawadi yangu kwenu katika kuazimisha siku ya wanawake

Mi naamini atatupaa tu hana shidaa kijana wa watu mpolee mwenyewe anaheshimu wamama na wadada so hawez kutukatili
Labda ngoja tusubiri mpk kesho tuone jamaa katupanga vizuri duh
 
Hahahahaha shaurilo mkuu.... kwani nabisha basi.. mi nakula mema ya Smart911 tu Sina manenoooo... mungu ambariki maradufu Smart911 wangu kwakweli ni wachache sana
Unatamanisha wenzio, maisha hayako hivyo unless Smart911 anajiongeza na nganda lakini kama anahangaika kihalali naomba nipishane nawe au unawakoga aliokuwa anakula? Nakumbuka Hadith zako katika uchaguzi zinaitwa fitina! Kamati ya fitina ya mpinzani wako zinapita na kujigamba kuwa umewahonga mamilion na watu wengine wananuna na kukuona ni mbaya kura zinayesa! Isije ikawa unarusha ndege wake kijanja
 
Upo sawa kabisa mi hata nabisha basiii! Thou wewe nishakujua lengo lako si jema hata.... Una yako wewe tangu Ile Juzi nitoe uzi wa anniversary ndo nimeanza kukunotice hii mara ya tatu... Mention mbili zote za chochezi nahii quote.. Naweka kumbukumbu tu hearly mwingine huyu mpe Ile sare.
Mchawi si lazima aroge


Smart911 ni huyu hapa @namuruk old member with new id
 
Maskini ya mungu pole maana ukisikia paaaa
 
Maskini ya mungu pole maana ukisikia paaaa

Hahahahaha sio kosa lako yaliyomo yamo ndomana umekuja kivingine lol...
Sina la kaongeza nakula mema ya smartiiiiiiiiiiiii tu nipe hongera [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 


teheee big fish in the ocean ...hayo maneno yakawaida tu yasikuapasue akili wwe wadhani watu wote tuko sawa mkuu '' nani kasema "" though hatushei akili niwazi hata mitazamo Yetu lazima itakuwa nitofauti kabisaaa...
halafu ngoja nikwambie jambo ukijiona wafnya kitu katika maisha halafu hcho kitu kikakosa kukosolewa yakupasa ufahamu kuwa hcho kitu wala hakina mvuto na hakifurahiwi kabisaaa na watu tena wala hawajishughulishi nacho "" ila ukiona wafnyà jambo kisha ukaanza kupokea Jumbe mbali mbali za kero na ushauri na zakukutia hamasa yakupasa utambue kuwa hcho unachokifnya ndio haswaaaa ulichopaswa kukifnya Siku zote za maisha yako ...so wewe song a mbele huwezi kuwa na utashi wakumfurahisha kila mtu ..kwani wewe yesu ...huyo yesu Mwenyewe historia yasema kuwa alibanikwa kwnye msalaba ....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…