Tayari nmeshatumiwa lol..polenShost wa 6 atapata vocha kablaa yetu naonaa kuna new sponser
Mmmh pm tenaList yangu imekamilika...
Happy women’s day to y’all.
Pin za vocha PM tukutane
Thank you dear....be blessed na Mungu aongeze pale kilipotokaaa na kiongezeke zaidi na zaidi........i love uuuList yangu imekamilika...
Happy women’s day to y’all.
Pin za vocha PM tukutane
TayariUpo vizuri saaanaa
Huko pm sasa...Nikiweka pin hapa si atakae ona wakwanza atachukua haraka
UbarikiweList yangu imekamilika...
Happy women’s day to y’all.
Pin za vocha PM tukutane
UsjaliAsante sana mkuu kwa kuguswa, ningeongeza idadi, lakini uwezo upo kwa hao wa 5 wa kwanza
Hujatumika kijinsia,utaelewa nini maana ya neno"-ke-"...na kwann mwanaume akiitwa mwanamke anafura ila kwa mwanamke kuitwa mwanaume anachekelea.Hayaa mimi wa tatu ......
Wadada wa shokaa tupo hapa kwanguaa vocha tutumiee pm lolz ndo raha ya kuwa mwanamke hii jamani
Naamin lkn njia yako nimeipendaAsee huna imani na mimi hata chembe... kwanini mkuu!?