[emoji23] [emoji23] wewe ni mwanamke au msichana?Hahahaaa. Na mie wa post ya 60 inabidi nifikirie kidogo basi [emoji12] [emoji12] rafiki sababu pia na mie mlengwa wa hiyo Sikukuu. Teh Teh
We jamaa ni hater! Mleta uzi amesema voucher tano za shilingi 2000 ambayo ni sawa na 10000.Vouchers 5 ni elfu 50 unadhani kwa usawa huu nani atatoa na no strings attached! Magreen hayo
Poa poa mkaka wa ukweli huyuHahaha lol shogaa we subiri u never knw penye wawili hakiharibiki kitu
Me nmeshatumiwa jaman..na IcemanMkuu mi nasubiri alie pata vocha alete mrejesho na kama haja wapa waseme
Sawa mkuuVouchers 5 ni elfu 50 unadhani kwa usawa huu nani atatoa na no strings attached! Magreen hayo
Sawa mkuuMimi ndio nitawafwata si list nnayo mkuu
Wanaume jinaWanaume wana wivu jaman khaaaa
Pongezi kwako [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]Me nmeshatumiwa jaman..na Iceman
[emoji476] [emoji476] [emoji476] [emoji476] [emoji476]Wanaume jina
Kuuumbee ndio wewe unayeteka watu?Alafu huo ufame utanisahidia nini JF namimi sijulikani
Hahahaaa. Mimi ni mwanamke.[emoji23] [emoji23] wewe ni mwanamke au msichana?
Hongera, nikutakie heri kwenye siku yenu,Hahahaaa. Mimi ni mwanamke.
duuhWanaume jina
Hahahaaaa. Ahsante.Hongera, nikutakie heri kwenye siku yenu,
Ngoja nikuandalie zawadi, nafikiria twende ufilipino
Hapan mkuu,just kidding,Mkuu vipi!!
Unabifu na mimi au?
Maana sikuelewi elewi unajua