MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,410
- 8,184
Heshima kwenu brothers and sisters
nilikuwa nachek thread ya smile ya mwanamke kwenda kwa mume na kila kitu haipendezi. Nikakumbuka na kisanga nilichokutana nacho kwenye harusi ya xul mates,
Wazaz wa upande wa kiume ( mama ) alitangaza kama mzaz anawazawadia maharusi milion 30 za kuanzia maisha na gari ndogo yeyote watayotaka isiyozidi million 15 akadai hiyo ni zawadi yake mama kama mama baba wa bwana harusi atatoa ya kwake peke yake akirudi maana alikuwa na uzuru nje ya nchi,
Baada ya mama kumaliza baba wa bibi harus naye akasimama na kusema familia yake inawazawadia ngombe mmoja wa maziwa, aliisema hiyo zawadi kinyonge sana as mama wa bwana aliongea kwa mbwembwe nyingi
Wadau tusaidiane haya mambo ya kutangaza zawad hadharan harusin ni sawa?
nilikuwa nachek thread ya smile ya mwanamke kwenda kwa mume na kila kitu haipendezi. Nikakumbuka na kisanga nilichokutana nacho kwenye harusi ya xul mates,
Wazaz wa upande wa kiume ( mama ) alitangaza kama mzaz anawazawadia maharusi milion 30 za kuanzia maisha na gari ndogo yeyote watayotaka isiyozidi million 15 akadai hiyo ni zawadi yake mama kama mama baba wa bwana harusi atatoa ya kwake peke yake akirudi maana alikuwa na uzuru nje ya nchi,
Baada ya mama kumaliza baba wa bibi harus naye akasimama na kusema familia yake inawazawadia ngombe mmoja wa maziwa, aliisema hiyo zawadi kinyonge sana as mama wa bwana aliongea kwa mbwembwe nyingi
Wadau tusaidiane haya mambo ya kutangaza zawad hadharan harusin ni sawa?