....jana nilinunua vocha ya elfu tano nikapata zawadi ya tsh 100....Wadau ningependa mnifahamishe jinsi ya kujishindia zawadi zitolewazo na TiGo... Je, hizo fedha za ushindi huwa kwenye vocha au baada ya kuingiza salio ndiyo utapata ujumbe wa kuonesha umeshinda?.
Na ni kuanzia vocha ya shilingi ngapi ndy unaweza kupata na fasi ya kujishindia?.