ZBC wa startimes

Startimes wanafanya biashara kisiasa ...walikuja na matangazo yao kumbe chaka
 
Unawaamini star times? Pole
Hii kampuni watu wanalalamika kuwa huduma zao ni tofauti kabisa na matangazo yao, mbona mamlaka husika iko kimya..!? Kwa huduma zao hewa.!?
 
Yaaa crtv ni bure na iko kwa azam tv kwa hiyo hata usipo lipia unapata burudani
 
ZBC2 Wameamua kurudia game ya jana England na Russia badala ya kuonyesha game ya Germany
 
starrtime bure kabisa yaani wanatuonyesha eti copa america nani aangalie mechi saa kumi usiku.wako kinyume na kisasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…