Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Mugo"The Great";586772 said:Wao wanajiona kuwa ni zaidi ya wasanii, lakini "Time will Tell"
Wadau, jana hawa jamaa wa Ze comedi wameendeleza uhasama dhidi ya wasanii wenzao wa kutengeneza filamu baada ya kuponda kikao cha wasanii hao kilichofanyika juzi n huku wakijigamba kuwa wao hawatishiki n kwa jeuri zaidi hata wakamkaribisha Manji kwenye kipindi chao...
Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?
USIMCHEKE MAMBA KABLA.........
kwa kweli wasipojirekebisha wataangukia pabaya! wangekaa na wasanii wenzao waombane msamaha ila wao ndy kwanza wanamwagia petroli kwenye msitu.
Wadau, jana hawa jamaa wa Ze comedi wameendeleza uhasama dhidi ya wasanii wenzao wa kutengeneza filamu baada ya kuponda kikao cha wasanii hao kilichofanyika juzi n huku wakijigamba kuwa wao hawatishiki n kwa jeuri zaidi hata wakamkaribisha Manji kwenye kipindi chao...
Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?
USIMCHEKE MAMBA KABLA.........
Wadau, jana hawa jamaa wa Ze comedi wameendeleza uhasama dhidi ya wasanii wenzao wa kutengeneza filamu baada ya kuponda kikao cha wasanii hao kilichofanyika juzi n huku wakijigamba kuwa wao hawatishiki n kwa jeuri zaidi hata wakamkaribisha Manji kwenye kipindi chao...
Je, watakapo fulia kabisa MANJI ataendelea kuwatunza?
USIMCHEKE MAMBA KABLA.........
Kweli Nimehamini penye riziki hapakosi fitina, hayo sasa eti "wanahela" yanatoka wapi?? na wenye hela utawaweka wapi? Sawa hata kama "wanavisenti" mimi napenda kuita hivyo, si zao!!? Tuyaache hayo, narudi katika mada yenyewe.
Jamani, wakati tulionao huu ni wa uwazi zaidi, hivi kwanini hatukubali ukweli kwamba mwezetu kalitia haibu taifa letu kule?.Sasa Ze-comedy wanapofikisha ujumbe kwa jamii ki-urahisi zaidi ili wasanii waliopo na wengine wajifunze, tunaaza kujenga na kuweka "informal gathering" vilizojaa lugha za kashfa, chuki, majungu na fitina dhidi yao, badala ya sisi wahusika kujipanga upya katika swala hili la lugha.
Siku zote katika maisha hapa duniani ombea yule anayekukosoa maana anakuwa ana-KUJENGA na kukuimarisha sio KUBOMOA kama wengi wetu tunavyofikilia hapa.
Waacheni Ze Comedy wafanye kazi yao bwana,yaani kisa cha thread zote hizi kumuiga Kanumba???,WTf!!!..Anaigwa Pinda na suti zake za rangi mbili,anaigwa JK,wanaigwa waytu wengi tu lakini hamjasema kitu,leo kaigwa Kanumba akiongea PUMBA zake mbele ya mamilioni ya watu duniani wewe unaanza kuwalalamikia Ze komedi,kazi kwelikweli...kuhusu kufulia mkuu,isikusumbue sana,usidhani daima watu watu watakuwa juu...Walikuwepo watu maarufu(angalia wacheza mpira) lakini dakika ya mwisho nao huishia na kuwa chini tu..Unamkumbuka Power Mabula lakini?,jamaa alikuwa na nguvu kama nini,alikuwa anaweza hata kubeba gari ama kuzuia gari lisitembee lakini ilifikia kipindi aliugua kisukari akaokoka,aliishiwa nguvu mpaka Biblia ilikuwa tabu kuibeba,anabebewa...So usiwatishie Ze komedi kuhusu kufulia mkuu,muda ni wao saa hizi waache wautumie ili wakifulia tupate cha kuwakumbukia............
Kwa Jonas, kutokujua kiingereza ni kutia aibu taifa kivipi? kiingereza sio lugha yetu ya taifa, watanzania tunaongea kiswahili sio kiingereza. sioni aibu kwa taifa iliyotiwa na kanumba, na sidhani mafanikio ya mtu yanategemea kiingereza. watanzania tuamke sasa na tupendane tuache majungu yasio ya maana. kosa lililofanyika hapa ni kanumba kwenda bila mkalimani, lakini hana sababu ya kujua kiingereza maana sio lugha yake. wajerumani, wafaransa, wa swedish, na wengine wengi hawaongei kiingereza lakini wao wakiburuza kiingereza mnaona sawa kwa vile ni mweupe, lakini kanumba kuwa mweusi, tayari keshatia aibu taifa. hao wenye kudhani kanumba kafanya kosa, ndio wenye kutia aibu taifa, kwa kuthamini lugha za watu wengine na kudharau yao ya asili. hao ze comedi, wala hawanipi tabu, elimu waliyo nayo inasababisha wafanye hayo wanayoyafanya. hata mseme vipi watajibu tu kwa akili zao finyu.
Kwa Jonas, kutokujua kiingereza ni kutia aibu taifa kivipi? kiingereza sio lugha yetu ya taifa, watanzania tunaongea kiswahili sio kiingereza. sioni aibu kwa taifa iliyotiwa na kanumba, na sidhani mafanikio ya mtu yanategemea kiingereza. watanzania tuamke sasa na tupendane tuache majungu yasio ya maana. kosa lililofanyika hapa ni kanumba kwenda bila mkalimani, lakini hana sababu ya kujua kiingereza maana sio lugha yake. wajerumani, wafaransa, wa swedish, na wengine wengi hawaongei kiingereza lakini wao wakiburuza kiingereza mnaona sawa kwa vile ni mweupe, lakini kanumba kuwa mweusi, tayari keshatia aibu taifa. hao wenye kudhani kanumba kafanya kosa, ndio wenye kutia aibu taifa, kwa kuthamini lugha za watu wengine na kudharau yao ya asili. hao ze comedi, wala hawanipi tabu, elimu waliyo nayo inasababisha wafanye hayo wanayoyafanya. hata mseme vipi watajibu tu kwa akili zao finyu.
Kwa Jonas, kutokujua kiingereza ni kutia aibu taifa kivipi? kiingereza sio lugha yetu ya taifa, watanzania tunaongea kiswahili sio kiingereza. sioni aibu kwa taifa iliyotiwa na kanumba, na sidhani mafanikio ya mtu yanategemea kiingereza. watanzania tuamke sasa na tupendane tuache majungu yasio ya maana. kosa lililofanyika hapa ni kanumba kwenda bila mkalimani, lakini hana sababu ya kujua kiingereza maana sio lugha yake. wajerumani, wafaransa, wa swedish, na wengine wengi hawaongei kiingereza lakini wao wakiburuza kiingereza mnaona sawa kwa vile ni mweupe, lakini kanumba kuwa mweusi, tayari keshatia aibu taifa. hao wenye kudhani kanumba kafanya kosa, ndio wenye kutia aibu taifa, kwa kuthamini lugha za watu wengine na kudharau yao ya asili. hao ze comedi, wala hawanipi tabu, elimu waliyo nayo inasababisha wafanye hayo wanayoyafanya. hata mseme vipi watajibu tu kwa akili zao finyu.