unajua hadi watu wa nchi zingine wanatucheka kwa ushamba na kutojua kuigiza kwa hawa jamaa, wanaaibisha taifa, wanaharibu watoto wetu, kwa kifupi ni uchafu, sipendi hata kuwaangalia. mara nyingi inapendwa sana na watu malayamalaya, watu wanaopenda uswahiliswahili mambo ya mtaaniiiii, kama kuna mtu humu anapenda kuwaanglaia hawa jamaa, wengine anataka hadi kugonga watu barabarani anakimbilia hicho kipindi, ujue kuwa una pepo, tena pepo chafu mahaba, jini sijui,ule mchezo wao uko controlled na pepo mahaba, uchafu wa shetani.