Jiandae kufuatilia vipindi vya ZE KOMEDI kupitia EA TV kuanzia alhamisi ya tarehe 23 Septemba.Kwa wanaofuatilia,
naomba kufahamu, wale jamaa(ze comedy ea tv) wanaendelea na kipindi au imekuwaje?
Nakumbuka kile kipindi wakiwa wanatafuta washiriki mambo yalikuwa hot kwelikweli
maana waliamua kuweka ratiba moja na akina Masanja.
Nimejaribu kufuatilia lakini siwaoni hewani akina Bambo.
Kama kuna anayefahamu, naomba anifahamishe.
Hivi Ze Comedi wa TBC wanamaanisha nini wanaposema "heshima yako inashuka"
Tusubiri watakapoanza ndipo tutawajaji vizuri!Sidhani kama wataweza kuwafikia wale wa tbc japo hawa watbc nao hawajafikia viwango walivyokuwa navyo eatv
kwa wanaofuatilia,
naomba kufahamu, wale jamaa(ze comedy ea tv) wanaendelea na kipindi au imekuwaje?
Nakumbuka kile kipindi wakiwa wanatafuta washiriki mambo yalikuwa hot kwelikweli
maana waliamua kuweka ratiba moja na akina masanja.
Nimejaribu kufuatilia lakini siwaoni hewani akina bambo.
Kama kuna anayefahamu, naomba anifahamishe.
Wamefulia! Wakakae nyumbani!